[wanabidii] Mke mwema hutoka kwa Bwana, sio kwa Kupoke Facebook wala kwa Kum-follow Twitter

Friday, February 22, 2013
Wanaume kuweni makini sana mnapochagua Wanawake wa kuwapenda, ili wawe
wake zenu siku si nyingi, Wanawake wa siku hizi wote wanataka ndoa,
Vimeo wanaota ndoa, Virukanjia wanaforce ndoa kwa mimba za ghafla na
kupitiliza siku zake, imekuwa shida.

Wanawake wa siku hizi wako radhi wajiunge na Kwaya ili waku-impress
wewe Mwanamaombi unayesali kupata mke mwema uingie kingi, na
usipotulia magotini kuomba ukaanza kuzuzuka na jeki ya sidiria
anazopiga kwenye Tindi lake refu kama mkuki wa Kinjekitile akiwa
kwenye mazoezi ya kwaya, na vimini anavyovaa ibadani akiongoza nyimbo
utajikuta umeoa mke feki.

Wanawake wa siku hizi hawaoni haya kujibadili tabia temporarily ili
uwaone Wife Material, anakupa maji huku anapiga goti unajua umeoa
Mnyakyusa Ndaga, Malafyale aliyejitunza kumbe unaopoa guberi mwenye
Tabia Pana kama Shuka la Gesti.

Kumbuka, Mke ni Waziri Mkuu Kivuli wa Serikali ya Familia yako, ukioa
Waziri mkuu Kilaza Serikali yako itaangushwa na Waasi wachache kwa
vita vya siku 2 tu vya Msitu wa Pande... Sali sana, Mke mwema hutoka
kwa Bwana, sio kwa Kupoke Facebook wala kwa Kum-follow Twitter.

Imeletwa kwenu na Seth Giovanni,
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mapenzi.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments