Habari za mchana,
-- Tafadhali pokea CODES hapa chini
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika kusherekea mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa redio ya Jembe FM iliyo na makazi yake jijini Mwanza, Mei, 21 kumefanyika tamasha lililopewa jina la JembekaFestival ambalo lilikutanisha mashabiki wa redio hiyo walio mikoa ya kanda ya ziwa kwa kupata burudani ya aina yake kutoka kwa <strong>msanii wa muziki wa miondoko ya R& B kutoka nchini Marekani, Shaffer Chimere Smith almaarufu kama NE-YO</strong></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Licha ya msanii NE-YO pia kulikuwapo na wasanii wa nchini wakiongozwa na Diamond Platinumz ambaye aliambatana na timu yake kutoka lebo yake ya Wasafi (WCB), wasanii wengine ni Fid Q, Baraka Da Prince, Ney wa Mitego, Maua Sama, Mo Music, Stamina, Juma Nature a.k.a Kiroboto, Ruby na wengine wengi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tamasha hilo lilifanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba ambapo pia lilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye na Waziri Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba pamoja na Mwanamitindo wa Kimataifa nchini, Flaviana Matata ambao kwa pamoja walionekana kufurahia tamasha hilo la kihistoria kuwahi kufanyika jijini Mwanza.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kufanyika kwa tamasha hilo kulisimamiwa na mikono ya Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamini wakuu, Coca Cola, FastJet, SYSCORP, EF Outdoor, Ndege Insurance Brokers, Jembe FM, Double Tree, KK Security na Mo Entertainment ambao ndiyo waliowezesha kufanyika kwa tamasha hilo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kama ulikosa kuja Mwanza hii hapa video ya msanii wa muziki wa R&B kutoka nchini Marekani, NE-YO akiimba wimbo wake uliotamba na uanendelea kubamba wa 'Miss Independent".</strong></em></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/hHUX022Xb-4" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Video ya Mkali wa Hip Hop nchini Fareed Kubanda a.k.a Fid Q akichana mistari tamasha la Jembeka na Vodacom jijijni Mwanza.</strong></em></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/cTf5QHEb0uc" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Video ya mkali wa Ragga na Dance hall, Cool Chata wa JEMBE FM ya Mwanza akiwasha moto Jembeka Festival 2016 </strong></em></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/0LejJBr4u9g" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Video msanii wa Bongo Flava, Ruby akiimba wimbo wa 'Nivumilie' kwenye tamasha la Jembeka Festival 2016.</strong></em></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/adizc_IryMo" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17097 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Sebastian-Ndege-2.jpg" alt="Sebastian Ndege" width="632" height="421" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akizungumza jambo kabla ya kuwatambulisha wageni waheshima walioshiriki kwenye Jembeka Festival 2016.(Picha zote na <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">Modewjiblog</a></span>)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17098 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/RC-Mwanza-John-Mongella-1.jpg" alt="RC Mwanza, John Mongella" width="627" height="418" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, Waziri Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba, Mbunge wa jimbo la Nyamagama jijini Mwanza, Stanislaus Mabula pamoja na Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye wakimsikiliza Dr. Sebastian Ndege (hayupo pichani).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17093 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Mbunge-wa-Jimbo-la-Nyamagana-Stanislaus-Mabula.jpg" alt="Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanislaus Mabula" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mbunge wa jimbo la Nyamagama jijini Mwanza, Stanislaus Mabula akizungumza machache katika Jembeka Festival 2016 kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye kuwasalimia wakazi wa jiji Mwanza waliofurika katik uwanja wa CCM Kirumba mwishoni mwa wiki.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17094 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Nape-Nnauye-1.jpg" alt="Nape Nnauye" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa jiji la Mwanza (hawapo pichani) na kubariki tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika katika viwanja vya CCM Kirumba jijini humo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17099 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Costantine-Magavilla-1.jpg" alt="Costantine Magavilla" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla akisamiana na Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17100 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Dr.-Sebastian-Ndege.jpg" alt="Dr. Sebastian Ndege" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akibadilishana mawazo na mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye pamoja na Waziri Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba wakati burudani zikiendelea kwenye Jembeka Festival 2016.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17102 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Mh.-Nape-Nnauye-1.jpg" alt="Mh. Nape Nnauye" width="632" height="421" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye (katikati) akifafanua jambo kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege (kulia) pamoja Waziri Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17104 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Jackson-StarTimes.jpg" alt="Jackson StarTimes" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wadau wakifuatilia burudani mbalimbali zilizokuwa zikiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17106 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Jembeka-Festival-2016.jpg" alt="Jembeka Festival 2016" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Vijana wa Mwanza walikuwepo kumshuhudia msanii Neyo Live kwa mara ya kwanza nchini Tanzania.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-17107 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Monica-Joseph.jpg" alt="Monica Joseph" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mbunge wa jimbo la Nyamagama jijini Mwanza, Stanislaus Mabula (kushoto) na Mtaalamu wa masuala ya fedha nchini, Monica Joseph (wa pili kushoto) walikuwepo kushuhudia tamasha la Jembeka na Vodacom ililoweka historia jijini Mwanza 2016. <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://dewjiblog.com/2016/05/23/neyo-awakosha-mashabiki-wa-mwanza-katika-jembeka-festival-2016/">Kwa picha zaidi bofya hapa </a></span></strong></em></span></p>
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments