Na Olle Bergdahl Mjengwa,
Ukitaka kusimulia mafanikio ya Dortmund katika Ligi ya Mabingwa kutoka mwanzo wa msimu ni kama vile unaandika Simulizi ya kusadikika. Ni kwa sababu, Dortmund wamefanya vitu ambavyo wengi wetu tulifikiri haiwezekani. Mwanzo wa msimu huu ni watu wachache sana walijua kwamba Lewandowski, Reus, Götze, na Blacykowski ni akina nani katika soka. Leo akina Reus watakapoingia pale Wembley dunia nzima ya soka inawajua.
Dortmund waliishangaza dunia ya soka katika hutua ya kwanza pale walipowafunga Real Madrid na Man City. Na simulizi hii ya kusadikika ya Dortmund ilianzia hapo. Mnaofuatilia makala zangu kwenye Mwanaspoti mtajua kwamba mwaka huu nimeandika makala nyingi kuhusu Dortmund. Lakini, nilipoona... Soma zaidi..http://www.mjengwablog.com/michezo/item/2920-olle-anasema-simulizi-ya-kusadikika-ya-dortmund-kuisha-leo.html#.UaD42Zzwnqo
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments