
WANAJESHI WAMSHAMBULIA MWENYEKITI WA SEREKALI YA MTAA WA KIMBIJI/KIJAKA NA KUMCHIMBIA KABURI ANUSURIKA KIFO,
Taarifa za kusikitisha ! siku ya 14/10/2015 baadhi ya wanajeshi wa JWTZ walifika nyumbani kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa wa Kijaka kata ya Kimbiji ,wilaya Temeke na kumchukua mwenyekiti huyo Bw.Biko ili aende akahakiki eneo la raia ambalo wanajeshi walikuwa wakimzuia asifanye shughuli zake baada ya kufika huko wanajeshi waliwafanyia unyama bw.Biko paamoja na raia wengine kwa kuwapiga na na kuwachimbia makaburi na kuwatishia kuwazika wangali hai,hali ya mwenyekiti huyo na raia mbaya sana ,tukio hili limeripotiwa polisi na kwa viongozi wengine wa kata ya Kimbiji,msaada zaidi unahitajika kulinda haki za raia Kimbiji.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
Share this :
0 Comments