Habari za asubuhi,
Tafadhali pokea CODES.
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Mwandisi wetu</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>WAZEE wanaoshi katika makazi ya Msimbazi Centre Jijini Dar es salaam karibu na kanisa la Mtakatifu Maria wa Fatma, Msimbazi walipata faraja kubwa baada ya kutembelewa na makundi matatu ya jamii.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Makundi hayo ni pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini, Tushikamane Pamoja Foundation na madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Makundi hayo yalifika katika kituo hicho katika kuadhimisha siku ya wazee duniani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Wakiwa na lengo kuu la kuwafariji, kukagua afya zao na kuheshimu uwepo wao, makundi hayo pia yaliwapa zawadi za vyandarua, sabuni za kufulia na kuogea, pampers, Thermos Flask, vikombe vya chai, sahani za kulia, vijiko, sukari, njugu mawe, Tshirts, viatu, nguo, vyombo vya kufanyia usafi .</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pia walipiga picha za pamoja za ukumbusho.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Siku ya Wazee Duniani imetengwa kwa ajili ya kuweaenzi na pia kuwakumbuka kwa mambo waliyofanya kuendeleza kizazi cha wanadamu</strong></span>.</p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Dr. Brian Mushi wa Projeckt Inspire akimpima presha mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Dr. Brian Mushi wa Projeckt Inspire akichukua vipimo vya damu kwa ajili ya kupima sukari kwa mmoja wa wazee wanaolelewa kwenye kituo hicho wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wafanyakazi wa UNFPA kutoka kushoto ni Clementina Njau, Mike Mwakuvila na mdau kutoka Tushikamane Pamoja Foundation wakionyesha upendo kwa mmoja wa wazeee wanaoishi kwenye kituo hicho wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Dr. Majaliwa Marwa kutoka UNFPA akikabidhi moja ya vyandarua walivyovitoa kwenye kituo hicho kinacholelea wazee Msimbazi Centre wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Sehemu ya msaada uliotolewa na makundi hayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini wakiongozwa na mtaalam wa mawasiliano kutoka UNFPA, Sawiche Wamunza(kushoto), wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy wakiwa kwenye picha ya pamoja na masista wanaowahudumia wazee hao kwenye kituo hicho.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini wakiongozwa na mtaalam wa mawasiliano kutoka UNFPA, Sawiche Wamunza(wa nne kushoto), wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy kwenye picha ya pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini, wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy kwenye picha ya pamoja na mmoja wa wazee wanaoishi kituoni hapo.</strong></em></span></p>
KAWAIDA

Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.
Na Mwandisi wetu
WAZEE wanaoshi katika makazi ya Msimbazi Centre Jijini Dar es salaam karibu na kanisa la Mtakatifu Maria wa Fatma, Msimbazi walipata faraja kubwa baada ya kutembelewa na makundi matatu ya jamii.
Makundi hayo ni pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini, Tushikamane Pamoja Foundation na madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy.
Makundi hayo yalifika katika kituo hicho katika kuadhimisha siku ya wazee duniani.
Wakiwa na lengo kuu la kuwafariji, kukagua afya zao na kuheshimu uwepo wao, makundi hayo pia yaliwapa zawadi za vyandarua, sabuni za kufulia na kuogea, pampers, Thermos Flask, vikombe vya chai, sahani za kulia, vijiko, sukari, njugu mawe, Tshirts, viatu, nguo, vyombo vya kufanyia usafi .
Pia walipiga picha za pamoja za ukumbusho.
Siku ya Wazee Duniani imetengwa kwa ajili ya kuweaenzi na pia kuwakumbuka kwa mambo waliyofanya kuendeleza kizazi cha wanadamu.

Dr. Brian Mushi wa Projeckt Inspire akimpima presha mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho.

Dr. Brian Mushi wa Projeckt Inspire akichukua vipimo vya damu kwa ajili ya kupima sukari kwa mmoja wa wazee wanaolelewa kwenye kituo hicho wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Wafanyakazi wa UNFPA kutoka kushoto ni Clementina Njau, Mike Mwakuvila na mdau kutoka Tushikamane Pamoja Foundation wakionyesha upendo kwa mmoja wa wazeee wanaoishi kwenye kituo hicho wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Dr. Majaliwa Marwa kutoka UNFPA akikabidhi moja ya vyandarua walivyovitoa kwenye kituo hicho kinacholelea wazee Msimbazi Centre wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Sehemu ya msaada uliotolewa na makundi hayo.


Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini wakiongozwa na mtaalam wa mawasiliano kutoka UNFPA, Sawiche Wamunza(kushoto), wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy wakiwa kwenye picha ya pamoja na masista wanaowahudumia wazee hao kwenye kituo hicho.

Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini wakiongozwa na mtaalam wa mawasiliano kutoka UNFPA, Sawiche Wamunza(wa nne kushoto), wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy kwenye picha ya pamoja.

Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) hapa nchini, wadau wa Tushikamane Pamoja Foundation pamoja madaktari vijana wanaounda kundi la Projeckt Inspire chini ya mradi wa Inspire Healthy kwenye picha ya pamoja na mmoja wa wazee wanaoishi kituoni hapo.
--
Zainul A. Mzige,Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
.
.
0 Comments