[wanabidii] SERIKALI YALAANI VIKALI BUNGE KUDHALILISHWA

Friday, May 24, 2013
Waziri wa Afrika Mashariki Mh Samweli Sitta Akiwa Bungeni leo amelaani vikali gazeti moja kutoka nchi ya jirani kwa kuruhusu picha hapo juu ambayo imelidhalilisha bunge la tanzania.Mh Sitta ametoa kauli hiyo asubuhii wakatia akisoma hotuba ya bajeti ya wizara ya afrika mashariki kwa mwaka 2013/2014.

Mh Sitta amesema pamoja na bunge kuwa na mjadala mkali lakini siyo sahihi kulidhalilisha bunge la tanzania kwa namna hii na kusema huenda picha hii ikachochea vurugu na majirani zake.Picha hiyo ilichapishwa katika gazeti moja kutoka kwa majirani zetu siku za karibuni

Tazama katuni zinazoonyesha wabunge ...............hapa

http://goldentz.blogspot.com/2013/05/serikali-yalaani-vikali-bunge.html

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments