Habari za jumapili ndugu zangu! Naomba elimu kwa wenye kujua swala hili! Hizi pampu za kuuzia mafuta katika "petrol stations" ni nani hasa mdhibiti wa vipimo hivi vya mafuta? Maana kila nikipita katika hivi vituo sioni kama kweli pampu hizo zinakaguliwa ipasavyo. Nchi za jirani utaikuta pampu imebandikwa karatasi inaonyesha lini imekaguliwa na pia kupangia tarehe nyingine ya ukaguzi unao fuata. Hapa kulikoni?
Related Posts
- [wanabidii] Mwakilishi ataka Zanzibar imiliki silaha za kivita
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] African Legal Market: High profile and leading litigators and employment law practitioners to join ENSafrica, Africa's largest law firm
- [wanabidii] 50 including Baird Strongly Condemns Boko Haram Attack in Northeastern Nigeria
- [wanabidii] Press Releases: World Environment Day
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments