Kuvunjwa kwa POAC: Nini Hatma ya UDA, TANESCO n.k?
Taarifa kutoka Bungeni Dodoma zinathibitisha kuvunjwa kwa Kamati ya Kusimamia Mashirika ya Umma (POAC). Imeunganishwa na Kamati ya Mahesabu (PAC) kuunda kinachoitwa Kamati ya Bajeti. Hili linatokea katika kipindi ambacho kuna hitaji kubwa la kufuatilia ufisadi kwenye mashirika haya. Kama inavyoonesha katuni hiyo hapa juu safari ya kuelekea 2015 inazidi kuwa tete na tata. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
--
Posted By Blogger to UDADISI: Rethinking in Action at 2/08/2013 08:11:00 PM
Related Posts
- [wanabidii] Press release: CITES and IUCN bolster collaboration in tackling poaching and illegal wildlife trade
- [wanabidii] Press Releases: Malaysia's Independence Day
- [wanabidii] Press Releases: Trinidad and Tobago's Independence Day
- [wanabidii] Press Releases: Deputy Secretary of State Heather Higginbottom To Lead U.S. Delegation to the Pacific Islands Forum
- [wanabidii] Press Releases: Concerning the Appointment of Jim O'Brien as the First Special Presidential Envoy for Hostage Affairs
- [wanabidii] Press Releases: Meeting of the Advisory Committee on International Postal and Delivery Services
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments