[Mabadiliko] Uchaguzi Umekwisha, Turudi Kwa Wananchi..

Thursday, October 29, 2015


Ndugu zangu,

Wakati wowote kuanzia sasa Tume Ya Uchaguzi inatarajiwa kumtangaza John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano. 
Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar umefutwa, ni doa, na CCM na CUF Zanzibar hawana namna yeyote isipokuwa kuitafuta meza ya mazungumzo. Uchaguzi Zanzibar lazima ufanyike, tena haraka.
Tukisubiri hayo, maisha ya kisiasa yanaendelea. Na kazi ya kuijenga nchi kwa kufanya kazi lazima ifanyike. 
Kwa vingozi na tunaoshiriki kazi za kijamii tuna lazima pia ya kurudi kwa Wananchi, hususan wa vijijini, kutia shime na kushiriki wenyewe kwenye kuijenga nchi yetu. Kwa kufanya kazi.

Maggid, 
Iringa.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye5LtvTmFsy%2BPY1uxHbR1d1GkD4F7DJGDjxggFO3dEaXaQ%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments