• Ikulu sio mahala pa mchezo, utani wala pa kuhadaa Watanzania kwa kuuza sera zisizotekelezeka!
• Halikadhalika wapinzani wameshindwa kujitandaza barabara nchi nzima tokea 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza!
• Lakini pia hawajaonyesha ukomavu wakuwa na mtandao wa umoja miongoni mwao dhidi ya CCM!
• Uchu wa madaraka umezidi uwezo wao wa kudhibiti nchi jambo la hatari sana, hata kama baadhi ya taasisi za habari na wasomi zinajaribu kuwafagilia ili wakamate dola kwa njia za mkato!
• CCM bado ni chama makini chenye mtandao wa uhakika unaofika vijijini japokuwa kinaendeshwa na binadamu ambao sio malaika!
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments