[wanabidii] ZAIDI YA WANAFUNZI 100 WA VYUO VIKUU DODOMA WAMTAKA KUGOMBEA URAIS 2015

Sunday, March 22, 2015

Taarifa nilizopata kutoka Dodoma Muda huu naambiwa kuwa zaidi ya wanafunzi 100 kutoka vyuo vikuu Dodoma wameandamana kimya kimya na wamejaa nyumbani kwa Lowassa mjini Dodoma wakimshawishi agombee Urais 2015.

Naambiwa ni watu ni wengii hatari na wakiulizwa wanasingizia kuna msiba.

Barabara zimefungwa maeneo hayo ya Area D.


 

 

 

 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments