[wanabidii] AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA

Tuesday, July 15, 2014

TAARIFA KWA UMMA
AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA
Leo majira ya saa kumi alfajiri kumetokea ajali ya maporomoko ya mawe katika eneo la juu la Mlima Kilimanjaro la Hans Meyer na kusababisha kifo kwa mwanafunzi Malata Thomas kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli .
Aidha, mwanafunzi mwingine Matenga S.J alivunjika mguu wake na anaendelea na matibabu katika hospitali ya KCMC mjini Moshi. 
Wanajeshi hawa walikuwa pamoja na wenzao 265 walikuwa katika mafunzo yao ya kawaida ya ukakamavu katika Mlima Kilimanjaro.

Shirika la Hifadhi za Taifa linaendelea na taratibu za kufahamu chanzo cha kutokea kwa ajali hiyo na taarifa kamili itatolewa kwa umma mara baada ya kukamilika.

Imetolewa na Idara ya Mawasiliano kwa Umma
HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA
15.07.2014

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments