[wanabidii] FOMU YA USHIRIKI WA TAMASHA LA 33 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

Wednesday, June 25, 2014

Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo
(TaSUBa)

FOMU YA USHIRIKI WA TAMASHA LA 33 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
Utangulizi
Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo imekuwa na utaratibu wa kuandaa tamasha la kimataifa la Sanaa na Utamaduni. Mwaka huu Tamasha la 33 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo litafanyika kuanzia tarehe 22 hadi 28 Septemba, 2014 katika viwanja vya chuo. Kaulimbiu ya tamasha hili ni Sanaa na Utamaduni katika kukuza Utalii.

Taarifa ya kikundi/Msanii
Jina la kikundi/Msanii

Anuani Wilaya

Mkoa

Idadi ya washiriki/Wasanii Barua pepe Namba za simu 
Jina Sahihi Tarehe

Aina ya Maonesho (Sanaa za ufundi na jukwaani)
Weka alama ya pata [√] kwenye aina ya maonesho mnayotegemea kuyafanya kwenye tamasha hili;
Muziki [ ] Sarakasi [ ] Maigizo [ ] Mazingaombwe [ ] Ngoma [ ] Vichekesho [ ]
Sanaa za ufundi [ ] Mengine taja Kwa sanaa za jukwaani, je onesho lako/lenu linachukua muda gani?

Mahitaji ya kikundi/Msanii
Taja mahitaji muhimu ya jukwaani

Uzoefu wa kikundi/Msanii katika kushiriki maonesho/matamasha mbalimbali

( Ambatanisha CD/DVD au picha za uzoefu wa ushiriki wa maonesho mbalimbali )

Kwa MATUMIZI YA OFISI TU.
Fomu Na. imepokelewa tarehe

Taarifa nyingine

Jina Sahihi Tarehe

Kwa mawasiliano zaidi;

Mtendaji Mkuu, TaSUBa,
S.L.P 32
BAGAMOYO
Barua pepe: taasisisanaa@yahoo.com
Tovuti:www.tasuba.ac.tz
Namba za Simu: +255(0) 715 472745, +255(0) 655 840405, +255(0) 754 310425 and +255(0) 712683 408

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments