[wanabidii] Maagizo ya ajira mpya na Majina ya Walimu wapya kwa shule za Msingi, Sekondari, Vyuo

Monday, March 17, 2014
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)

AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14.


A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-

i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928 
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416 
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677 

Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania Bara.

B: Kila Mwalimu (ajira mpya) atatakiwa kuzingatia yafuatayo:-

  1. Kuripoti tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi.
  2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuona Sekondari 
  3. Walimu ambao ni waajiriwa wa Serikali waliokuwa wanajiendeleza kielimu wanatakiwa kurudi kwa waajiri wao ili kuendelea na kazi
  4. Fedha za kujikimu za siku saba (7) na nauli kwa walimu wapya zimetumw akatika Halmashauri walikopangwa walimu. Hivyo, kila mmoja aripoti katika Halmashauri aliyopangwa
  5. Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 10/04/2014 hatapokelewa tena na atakuwa amepoteza ajira yake.

  • AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14 
 Bofya hapa kupakua faili lenye majina ya Walimu wa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya Shule za Msingi 17,928 

 Bofya hapa kupakua faili lenye majina ya Walimu wa Stashahada kwa ajili ya Shule za Sekondari 5,416 

 Bofya hapa kupakua faili lenye majina ya Walimu wa Shahada kwa ajili ya Shule za Sekondari 12,677 

  • AJIRA MPYA YA WALIMU WA SHAHADA WALIOPANGWA VYUONI MWAKA 2013/14 
 Bofya hapa kupakua faili lenye majina ya Wallimu wa Shahada waliopangwa Vyuoni 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments