Jamani hiki kingamuzi cha Star Times kina nini badala ya kuwa digitali naona ni analogia original kwani baadhi ya Tv kama
ITV, Star TV, EATV havioonekani na zikionekana zinakatika katika na scrach nyingi. Au ndio uchakachuaji wa Kichina? Jirekebisheni wazee kwani tutahamia vingamuzi vingine ambavyo sio kero na hakuna malipo ya kila mwezi kama nyinyi.
ITV, Star TV, EATV havioonekani na zikionekana zinakatika katika na scrach nyingi. Au ndio uchakachuaji wa Kichina? Jirekebisheni wazee kwani tutahamia vingamuzi vingine ambavyo sio kero na hakuna malipo ya kila mwezi kama nyinyi.
0 Comments