[Mabadiliko] Profesa Chachage Anasema...

Saturday, May 25, 2013

 " Haitoshi kabisa kulifahamu jambo. Kuambiwa ni habari tu, unaambiwa na unafahamu, unajua kwamba tukio Fulani limetokea. Gumu zaidi ni kuelewa mantiki ya hilo jambo, na hata baada ya kufikiria na kulifahamu, ugumu mwingine huja pale ambapo inabidi ulieleze lieleweke na maelezo yakajitosheleza yenyewe na kumfanya kila asikilizaye  kuridhika kwamba jambo linaeleweka. Haitoshi wewe kulielewa, bali na wewe kulielezea na mtu mwingine akaelewa. Hapa umuhimu wa kufikiria unachukua nafasi  ya pekee. Hii ndio maana ya mawasilino." – Profesa Chachage Seithy Chachage ( Makuadi Wa Soko Hurua, ukurasa 117)

 Naam, ndugu yetu  Chachage  anatutaka pia tufikiri kwa bidii. Na kimsingi anachosema Chachage inahusu pia dhana nzima ya maarifa. Maana, ukiweza kuelewa ulichojifunza na ukaweza kumwelezea mtu mwingine akakuelewa, basi, kwako hayo uliyoyaelezea yakaeleweka ni maarifa uliyoyapata.

 Maggid Mjengwa

Iringa,

0754 678 252

http://mjengwablog.co.tz

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments