[wanabidii] mafunzo ya jkt hayajafaa kitu kwa wabunge Sunday, April 28, 2013 mbona tuliambiwa wabunge wanakwenda jkt kupata mafunzo ya kujifunza uzalendo.mbona sasa fujo zinaongezeka bungeni, huo ndio uzalendo? au walikwenda kujifunza sakarasi za kumrukia spika kwenye kiti chake? Share this : Digg Linkedin Stumbleupon Delicious Tumblr BufferApp Pocket Evernote
0 Comments