[wanabidii] Mwanza: Meli ya MV Victoria yawaka moto!

Thursday, February 07, 2013
Wakuj,

Ninapoandika hapa ni kuwa Meli ya MV Victoria ifanyayo safari zake kati ya Mwanza na Bukoba inaungua moto bandarini Mwanza. Zimamoto ndio wanaelekea eneo la tukio na nitajitahidi kuwafahamisha kinachojiri na hata kupandisha picha.

Zimamoto wamefika, moto umetokea sehemu ya chini wanakoweka mizigo. Moshi unafuka mwingi, wakifanikiwa au kuchemsha kuuzima nitawajuza.

More updates to follow
 

Share this :

Related Posts

0 Comments