[wanabidii] MBONA UKAWA HAWATANGAZI NIA

Sunday, June 07, 2015
Jamani nia zimetangazwa lakini kweli hapo ndo inaonekana kuwa siasa ni kubebana tu. Huwezi amini wagombea wengine hata kujiuza au kutangaza nia hawawezi. hii ni aibu Sasa nawapinzani alimaarufu kama Ukawa nao wamekaa kimya nia hawataki kutangazaKulikoni?

Mnyahela

Share this :

Related Posts

0 Comments