[wanabidii] BASI LA WIBONELA KUTOKA KAHAMA – DAR LAPATA AJALI

Wednesday, November 12, 2014
Taarifa zinasema basi la abiria la kampuni ya WIBONELA kutoka kahama kwenda dar limepata ajali eneo la Fantom .

Watu kadhaa wamekufa na wengine kujeruhiwa lakini taarifa kamili itatolewa na jeshi la polisi .

Katika harakati za uokoaji kuna kijana alijaribu kuibia maiti na majeruhi kwa bahati mmoja wa majeruhi alimuona , alimwitia mwizi wananchi wakamchoma moto hapo hapo .

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments