well said Muhingo
2014-11-09 22:08 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Hebu tujaribu kujadiri mana: Tusiache viongozi wazuri kwa kashfa zisizo na mashiko:
Tunaotaka kujua kashfa zisizo na mashiko na zilizo na mashiko.
Kama kuna kiongozi anatuhumiwa kwa kashfa zilizo na maana basi Mkapa hao sio anao waongelea. Lakini kama kuna kiongozi ambaye kashfa zinazomkabili hazina mashiko basi tusiwapoteze hao. Tanzania tunao wote na nitatoa mifano ya wazi:
Dr Slaa anatuhumiwa kumtorosha mke wa mtu. Kuna watu wanaona hiyo ni kashfa ya kutoksha kumnyima uongozi wa taifa hili. Ushauri wa Mkapa huyo tusikubali kumpoteza maana kashfa hizo hazina mashiko kweli.
Tunaye mathalani Ndugu Edward Lowasa. Tume ya Mwakyembe ilimtuhumu kuliingiza taifa kwenye mikataba inayolipa capacity charges ambazo kwa sababu yake bei ya umeme haiwezi kuteremka hata tukianza kutumia gas. Tena kwa taarifa ya tume kuna mambo waliyobakiza. sasa tuhuma hizo zina mashiko kwa hiyo kiongozi huyo siye anayeongelewa na Mkapa.
Ndiyo maana ya mada hapo juu. Tuwemo sasa
--------------------------------------------
On Sun, 11/9/14, 'Fred Hans Kipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Re:Mkapa:Tusiache watu wazuri kwa kashfa zisizo na mashiko
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, November 9, 2014, 5:50 PM
Ngupula,unataka niseme mara ngapu kuwa namtaka Warioba?
Unachtakiwa kuniambia ni udhaifu wake kulinganisha na hao
mnaowataja ili nibadilishe mwelekeo
From: 'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday,
November 5, 2014 6:09 PM
Subject: Re:
[wanabidii] Re:Mkapa:Tusiache watu wazuri kwa kashfa zisizo
na mashiko
Kama tunamtafuta wa aina ya Nyerere na Sokoine
tunaweza kuwapata. Tatizo letu ni kuangalia ndani ya CCM
wakati mfumo tulio nao ni wa vyama vingi. Naomba nikomee
hapo ili kapengele hako (ka kuangalia nje ya box) kaangaliwe
kwenye mjadala huu.
Elisa
--------------------------------------------
On Wed, 11/5/14, 'ngupula' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] Re:Mkapa:Tusiache watu wazuri kwa kashfa zisizo
na mashiko
To: "'Fred Hans
Kipamila' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, November 5, 2014, 4:50 PM
Alikuwepo mwinyi,hakuwa
mwizi,lkn alikuwa na Mike mwiz sugu..na
pia,uongoz wake
legelege ulifanya watu
wengi wakaiba sans. Na
kimsingi,taïfa
lilifilisika kabisa. Alikuja mkapa,yéyé
kaz alipiga sana. Ndio watu weng waliiba sana,lkn maumivu
ya
wiz hayakuonekana Sana coz tija
ilikuwa
kubwa..kikwete,yéyé anaiba sana.
Tija kwa ufanis wake soi
kubwa sana, ndio
maana malalamiko ni meng. Ndugu Fred,chagua
kiongoz Wa aina ipi wamtaka?kumbuka Wa aina ya nyerere au
sokoine hutompata.
'Fred Hans Kipamila'
via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Tuonyesheni mapema
huyo mtu
strong mnayetaka tumchague hata
kama ni mwizi, tupate kupima
hasara
tutakayopata kwa wizi wake kulinganisha na faida
tutakayopata kwa ustrong wake. kama mzani
utatuonyesha kuwa
tutapata faida basi
tumchague
From: 'ngupula'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, November
4, 2014 9:04 PM
Subject: [wanabidii]
Re:Mkapa:Tusiache watu wazuri kwa kashfa
zisizo na
mashiko
Moja ya mambo aliyoyaongea Mkapa alipokuwa
akihojiwa na BBC ni kuwaasa wana CCM kuwa
wasiache watu
wazuri,watendaji na wenye
record zenye tija kwa sababu za
kashfa mfu.
Ni aheri kutumia muda mwingi kupambana na kashfa
lkn mkampa mtu mzuri nchi.miaka kumi ni mingi.
Mnaweza
mkamchagua mtu ambaye mnadhani ni
safi lkn ni legelege,na
hatimaye nchi
ikawashinda na wananchi kupoteza imani na
chama...napenda nichukue nafasi hii kuwaasa wana
CCM,tunahitaji mabadiliko.tunahitaji mtu
strong.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the
sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your
continued
membership signifies that you
agree to this disclaimer and
pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments