Re: [Mabadiliko] Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

Monday, November 10, 2014
Leila

Nimesoma sayansi ya binadamu in advanced level kwa miaka 10

Nakuambia siyo operation ngumu

Sawa, kwa sasa rais asingeweza kufanyiwa hapa kwa sab ya mazingira duni,

Swali ni kwamba kwa nini duni ?

How Africa underdeveloped itself? ndicho kitabu ambacho kinatakiwa kiandikwe

African problems,inherent or man made?

Ni man made

On Mon, Nov 10, 2014 at 8:43 AM, 'Leila Sheikh' via Mabadiliko Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:
Labda niseme mimi huwa natibiwa Lugalo Hospital kwa mfano nilipofanya surgery ya myomectomy mwaka 2011. 
Malaria etc natibiwa kwenye zahanati mtaani kwetu.
Meno natibiwa Mwananyamala.
Lakini huwa naenda Cairo kwa specialist wangu.
Naomba musiniulize napata tiba ipi Cairo.
Hii tiba hivi majuzi tu imeanza Tanzania.
Kenya ipo Aga Khan Hospital lakini bei ni mara tatu ambayo nalipa Cairo.
Mutanishauri vipi?

Leila Sheikh

On 9 Nov 2014, at 23:49, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:

As a general rule viongozi wetu hawatibiwi kwao bila ya kujali anaumwa nini.

Apologists wa mfumo wanasema inapaswa kuwa hivyo. Nimesema siku za nyuma na ninarudia tena - namna pekee ya mambo kubadilika ni pale na viongozi watakapoanza kuiona shubiri ya hiyo shida.

Yetu macho......

On Nov 9, 2014 7:59 PM, "Maurice Oduor" <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Not lucky at all Leila, not lucky at all.

You've lived out there in the UK and you know that home is always the best and happiest place to be no matter how humble. 

In my case, when I graduated, Kenya was on fire and political opposition were getting thrown into detention left and right.

Someone like me would have been picked up directly from the airport upon arrival.

Courage



On Sun, Nov 9, 2014 at 2:27 PM, 'Leila Sheikh' via Mabadiliko Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:
Lucky you Maurice.
Some of us came home after graduating from university to build our country, otherwise, I could have remained in England.

Leila Sheikh

On 9 Nov 2014, at 22:04, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:

Leila,

This is the only thing I like about living in Canada.

For something like this, I would just walk down for 5 minutes to Mt Sinai Hospital and get the best medical care anywhere in the world, and I don't have to pay for it directly out of my pocket.

Our medicare is all covered by the government through our taxes. 

East Africa used to be like that before the IMF/World Bank told us in the 1990s that we could not afford it !!!

Courage


On Sun, Nov 9, 2014 at 1:47 PM, 'Leila Sheikh' via Mabadiliko Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:
Wakati tunapanga kupata huduma hiyo, Rais imebidi aende kupata tiba.
Nafahamu wanaume wenye tatizo Hilo waliokwenda India kupata tiba

Leila Sheikh

On 9 Nov 2014, at 21:44, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:

MaDaktari wetu akina Theopista wanasemaje juu ya suala hili?

Tanzania ikifanya bidii haiwezi kufika kiwango cha sipitali za S.Africa na India?

Courage



On Sun, Nov 9, 2014 at 1:38 PM, 'Leila Sheikh' via Mabadiliko Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:
Unayo haki ya kupoteza heshima juu yake.
Ukweli ni kuwa Leo akija ndugu a rafiki kuniomba ushauri, nitamshauri aende nje

Leila Sheikh

On 9 Nov 2014, at 21:28, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:

Mkubwa wangu Shigela,

The primary test of leadership is that a Leader must have faith in the services that are provided by the government that he leads. No 2 ways about it.

By going to the US for as simple a procedure as a prostate operation, the message that Kikwete is sending to Tanzanians is that his government has failed.

Nimeanza tiyari kuupotheza hishima na ushabiki nilokuwa nao kwake Kikwete na chama chake kinachotawala cha CCM.

Courage


2014-11-09 13:18 GMT-05:00 Shigela Aloyce <comrshigela@gmail.com>:

Maurice,

Huyu haziamini huduma za afya nchini mwake, hawaamini pia madaktari wake; lakini kikubwa,zaidi kwake ni kupata sababu ya kuzulura ughaibuni.

Unapomsikia Pinda akiwalalamikia wafadhili kusitisha misaada yao anamaanisha kuwa pesa ya kufanyia hizo starehe zao inapungua.

Akina Mjengwa wao wanakurupuka tu na pesa zisizowahusu, eti wanyonge watakosa huduma, zipi? Ama kweli akili ni nywele, maana kila mtu ana zake!

SA.

On Nov 9, 2014 8:35 PM, "Maurice Oduor" <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Emmanuel,

That is a very simple operation that can be done at Muhimbili.

Why waste the taxpayers' money to go to the US? 

Courage


2014-11-09 12:19 GMT-05:00 Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>:
Maurice, 
Upasuaji ndio uliomleta. Tumwombee apone haraka.
em

Sent from my iPhone

On Nov 9, 2014, at 10:59 AM, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:

Huu upasuaji ndoo sababu yake kwenda Marekani ama mambo haya ya kiafya yametokea kwa ghafla alipokuwa huko? 

Courage


2014-11-09 10:45 GMT-05:00 Katulanda Frederick <fkatulanda@gmail.com>:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.

Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji matibabu ya aina hiyo.

Upasuaji huo uliofanyika alfajiri na kuchukua kiasi cha saa moja unusu, umefanyika salama na kwa mafanikio makubwa. Hali ya Mheshimiwa Rais Kikwete inaendelea vizuri, bado yuko wodini akiendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari na kupatiwa tiba. 

Wananchi wataendelea kupewa taarifa sahihi kuhusu hali ya Rais Kikwete kwa kadri zitakavyokuwa zinapatikana. 
 
Imetolewa na
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU
DAR ES SALAAM,
NOVEMBA 9, 2014


--
'Walk The Talk'
Frederick M. Katulanda
Cell: +255 784 642620,
Alternative:+255 754 642620
E-mail: fkatulanda@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAJRvra1sf%2BsYNiAwLe6nrmmDaaYWFZRUcGG49OBxETGdupijnw%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr-E8D30fNwDrC_Nr%3DQ8qXiEurtL%2BrEBtFUF5j2V2GFXDA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/299601EB-8602-43AC-86CB-9195D3A877B2%40gmail.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr-Np0xGM4Re67Xb79UaXZ-44UPBp3QH5iPS4-ywpLOxBQ%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAPPZ%3DWxwDir0-fL5WXz6EO_nHgAFH81VGB1H49JPLVLguu3iMw%40mail.gmail.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr_M2G3CXgrbkP%2BsJ_XDCpATx7x_2zN2ay6LsA1z52ptsg%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/05A45166-47B7-498F-8F9A-529EC9AF36C1%40yahoo.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr8BBaN%3DtYMoUPRHcrjephni-V38AP_ALvyLycUOhMu3%2Bg%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/665BD4A3-2FFE-486F-999F-E89DD374DD52%40yahoo.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr-C%3Dpu_qFcXfs09ZDgyo04-cV3dU-oreT6QdkQbP4V4Hg%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/2B637E94-E632-4B90-8763-533C64C2E2ED%40yahoo.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAKWnvr9CKqOK2tM3MPVVe5LtHkKJNAOTPZW8Bd4y0_0MZm_z3w%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAPj42pGbXJcAvi2YdME1Uykpqb%3DLtUFeFYWF1PPSr8Oj0t3MeA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/9F02B3C3-EA1F-4BC5-89C8-4662DC9D374D%40yahoo.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAOLZqJYVz%2BcWCrbr%2Bt8Xn9tOb5nho%3D6_--VxJieL21Hyupp4pA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments