<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong> Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa Skylight band</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Skylight Band akijadili jambo na Aneth Kushaba ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Gari iliyobeba Mwili wa marehemu Chiri Challa likiwasili Nyumbani kwa marehemu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Ndugu na Jamaa wakishusha Mwili wa marehemu Chiri Challa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mwili wa Marehemu ukishushwa kwa ajili ya ibada</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mchungaji wa kanisa alipokuwa Anasali marehemu akiongoza ibada ya kumuombea Marehemu Ayoub Songoro maaru Chill challa aliyekuwa mwanamuziki na mpiga Gita wa Skylight Band.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Misa ya kumuombea Marehemu ikiendelea Nyumbani kwake Mwananyamala</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mke wa marehemu akiwa na majonzi</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Meneja wa bendi Ya Skylight Aneth Kushaba akiaga mwili wa marehemu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akiaga Mwili wa marehemu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Watoto wa marehemu wakiwa na majonzi ya kuondokewa na baba yao kipenzi</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Kaka wa marehemu akiaga mwili wa mdogo wake kwa huzuni kubwa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mwili wa marehemu ukipandishwa kwenye gari Tayari kwenda kuzikwa baada ya ibada ya kumuombea</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Msafara ukielekea makaburi ya Mwananyamala kwa kopa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini tayari kwa kuzikwa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Wanamuziki wenzake na marehemu wakifuatilia mazishi ya mwenzao</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mchungaji akisoma neno</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mchungaji akirusha udongo kuonyesha ishara ya kuaza maziko</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mke wa marehemu akirusha udongo ndani ya kaburini</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Watoto wa kiume wa marehemu wakirusha udongo kaburini kumzika baba yao</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Kaka wa marehemu akiwa akimzika mdogo wake</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akirusha udongo kumzika msanii wake</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Meneha wa Skylight Band Aneth Kushaba akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Waombolezaji wakiwa wanafuatilia maziko kwa huzuni kubwa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mchungaji akiweka msalaba kwenye kaburi la marehemu.</strong></em></span></p>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Mke wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburi na Baba yao</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Ndugu wa Marehemu wakiweka Shada la maua.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mpiga Gitaa mahiri wa bendi ya Skylight Chiri Challa amezikwa Ijumaa kwenye makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa na mamia ya watu na wanamuziki wenzie.Marehemu Chiri Challa alifariki Tar 17-04-2014 hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Chanzo cha kifo cha marehemu ni shinikizo la damu ambapo kabla ya kifo chake alikuwa katika afya njema, lakini Usiku wa Tar 16 marehemu alidondoka gafla bafuni na ndipo alipokimbizwa hospitalini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Madaktari walijitaidi kwa kila hali na mali kuokoa uhai wa marehemu lakini ilishindikana kutokana na shinikzo la damu kuwa kubwa sana na ndipo Chiri challa akafariki dunia,Marehemu Chiri Challa ameacha Mke na watoto wawili, Marehemu alikuwa ni mpiga gita mzoefu na mahiri ambaye amepitia karibu bendi zote kubwa na kongwe nchini kama Akudo, Fm Academia n.k na ahadi mauti yanamfika alikuwa na Skylight Band</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Uongozi mzima wa Skylight band unawashukuru wale wote waliojitoa kwenye msiba huu na Mungu awabariki.PICHA ZOTE NA DJ SEK BLOG</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> </strong></span></p>
KAWAIDA
Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band
William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.
Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.
Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa Skylight band
Mkurugenzi wa Skylight Band akijadili jambo na Aneth Kushaba ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.
Gari iliyobeba Mwili wa marehemu Chiri Challa likiwasili Nyumbani kwa marehemu
Ndugu na Jamaa wakishusha Mwili wa marehemu Chiri Challa
Mwili wa Marehemu ukishushwa kwa ajili ya ibada
Mchungaji wa kanisa alipokuwa Anasali marehemu akiongoza ibada ya kumuombea Marehemu Ayoub Songoro maaru Chill challa aliyekuwa mwanamuziki na mpiga Gita wa Skylight Band.
Misa ya kumuombea Marehemu ikiendelea Nyumbani kwake Mwananyamala
Mke wa marehemu akiwa na majonzi
Meneja wa bendi Ya Skylight Aneth Kushaba akiaga mwili wa marehemu
Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu
Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akiaga Mwili wa marehemu
Watoto wa marehemu wakiwa na majonzi ya kuondokewa na baba yao kipenzi
Kaka wa marehemu akiaga mwili wa mdogo wake kwa huzuni kubwa
Mwili wa marehemu ukipandishwa kwenye gari Tayari kwenda kuzikwa baada ya ibada ya kumuombea
Msafara ukielekea makaburi ya Mwananyamala kwa kopa
Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini tayari kwa kuzikwa
Wanamuziki wenzake na marehemu wakifuatilia mazishi ya mwenzao
Mchungaji akisoma neno
Mchungaji akirusha udongo kuonyesha ishara ya kuaza maziko
Mke wa marehemu akirusha udongo ndani ya kaburini
Watoto wa kiume wa marehemu wakirusha udongo kaburini kumzika baba yao
Kaka wa marehemu akiwa akimzika mdogo wake
Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akirusha udongo kumzika msanii wake
Meneha wa Skylight Band Aneth Kushaba akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu
Waombolezaji wakiwa wanafuatilia maziko kwa huzuni kubwa
Mchungaji akiweka msalaba kwenye kaburi la marehemu.

Mke wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi
Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburi na Baba yao
Ndugu wa Marehemu wakiweka Shada la maua.
Mpiga Gitaa mahiri wa bendi ya Skylight Chiri Challa amezikwa Ijumaa kwenye makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa na mamia ya watu na wanamuziki wenzie.Marehemu Chiri Challa alifariki Tar 17-04-2014 hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Chanzo cha kifo cha marehemu ni shinikizo la damu ambapo kabla ya kifo chake alikuwa katika afya njema, lakini Usiku wa Tar 16 marehemu alidondoka gafla bafuni na ndipo alipokimbizwa hospitalini.
Madaktari walijitaidi kwa kila hali na mali kuokoa uhai wa marehemu lakini ilishindikana kutokana na shinikzo la damu kuwa kubwa sana na ndipo Chiri challa akafariki dunia,Marehemu Chiri Challa ameacha Mke na watoto wawili, Marehemu alikuwa ni mpiga gita mzoefu na mahiri ambaye amepitia karibu bendi zote kubwa na kongwe nchini kama Akudo, Fm Academia n.k na ahadi mauti yanamfika alikuwa na Skylight Band
Uongozi mzima wa Skylight band unawashukuru wale wote waliojitoa kwenye msiba huu na Mungu awabariki.PICHA ZOTE NA DJ SEK BLOG
--
Zainul A. Mzige,Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
.
.
0 Comments