[wanabidii] Taarifa ya Ofisi kuhusu kurasa zenye jina la Lowassa katika mitandao jamii

Saturday, February 08, 2014
Kumekuwa na kurasa (accounts) mbalimbali zenye jina la Mhe. Edward Lowassa katika mitandao ya kijamii kama vile Facebook, Twitter, Instagram n.k. zinaonekana mmiliki wake ni Mhe. Edward Lowassa.

Ukweli ni kwamba hizo zote hazimilikiwi na Mhe. Lowassa.

Kwa maana hiyo chochote kinachoandikwa au kuchapishwa kwenye kurasa hizo 
hazihusiani kwa namna yoyote na Mhe Lowassa.

Hata hivyo Mh Lowassa anawashukuru wote wenye kumiliki account hizo bila ya ruhusa yake, kwani anaamini wamesukumwa na mapenzi yao kwake.

Imetolewa na Ofisi ya Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (MB)

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments