HOJA NA MAONI YETU WAISLAMU JUU YA KATIBA MPYA YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA
KUPITIA SEMINA SHIRIKISHI ZA MTANDAO WA
MISIKITI TANZANIA
SEHEMU YA I: UHUSIANO WA SERIKALI, DINI NA MASHIRIKA YA KIDINI
| NA. | | | HOJA | | | | | MAONI | | | |
| | Kwamba | Katiba | | iliyopo | Katiba | mpya itambuwe kuwepo | | ||||
| 1 | haitambui | kuwepo | kwa | kwa | Mwenyezi Mungu | na | | ||||
| Mwenyezi Mungu na uhalali | Mamlaka yake juu ya Wanaadamu | | |||||||||
| | wa | mamlaka | ya | Mwenyezi | (kwa mnasaba huu, wananchi wa | | |||||
| | Mungu | | | | | | Tanzania) | | | ||
| | Kwamba | Katiba | | iliyopo | Katiba mpya iweke wazi kutambua | | |||||
| 2 | haitambui | uhalali | wa Sheria | kwake uhalali wa sheria za | | ||||||
| za | Mwenyezi | Mungu. | Hii | Mwenyezi Mungu na kuziheshimu. | | ||||||
| | inajidhihirisha | kwa kauli | ya | Maana ya serikali kutokuwa na | | ||||||
| | serikali kutokuwa na dini. | | dini iainishwe na kuwekwa wazi | | |||||||
| | | | | | | | | kikatiba. | | | |
| | Kwamba | Katiba | | iliyopo | Katiba | mpya isimlazimishe | mtu | | |||
| 3 | inamlazimisha | mtu | kufuata | kufuata taratibu au sheria ambazo | | ||||||
| sheria zote hata kama | inakwenda kinyume na imani yake | | |||||||||
| | zinakwenda | kinyume | na | na hivyo kupelekea kuvunja sheria | | ||||||
| | imani ya dini ya raia husika. | za dini yake. | | | |||||||
| | Kwamba Katiba iliyopo haitoi | Katiba itoe tafsiri yakinifu ya ibada | | ||||||||
| | tafsiri yakinifu juu ya maana | na dini kwa mujibu wa tafsiri ya | | ||||||||
| 4 | ya ibada na dini. Tafsiri sahihi | dini husika. | | | |||||||
| ya maneno dini na ibada ni | | | | | |||||||
| | muhimu ili kuzuia bughudha | | | | | ||||||
| | kwa wananchi wanapokuwa | | | | | ||||||
| | katika matendo ya dini na | | | | | ||||||
| | ibada. | | | | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iruhusu kuchanganya | | ||||||||
5 | inatenganisha | mamlaka | ya | mamlaka ya nchi na ya dini. Mfano | | |||||||||
| nchi na mamlaka ya dini. Huu | uwepo wa Mahakama ya Kadhi | | |||||||||||
| ni mfumo Kristo. | | | | itakayoendeshwa | kwa | hazina | ya | | |||||
| | | | | | | | | serikali. | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itoe tafsiri sahihi ya | | ||||||||
6 | imetoa tafsiri potofu ya neno | neno HALALI kwa mujibu wa | | |||||||||||
HALALI. Kwa | mfano | neno | imani ya dini na tafsiri hiyo iwe ni | | ||||||||||
| rizki | halali | linajumuisha | yenye | kukubalika kiutendaji | na | | |||||||
| mathalani | | hata | | rizki | katika | mahusiano | baina | ya | | ||||
| ipatikanayo | | kwa | kuuza | mwananchi wa dini husika na | | ||||||||
| pombe | na | kucheza | bahati | wananchi wengine nje ya dini | | ||||||||
| nasibu ni halali. | | | | | husika. | | | | | | |||
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itambue na kuipa | | ||||||||
7 | haiilazimishi | | | serikali | heshima siku ya Ijumaa kuwa ni | | ||||||||
| kuitambua | | siku ya | Ijumaa | siku maalum ya ibada kwa | | ||||||||
| kama siku rasmi ya ibada kwa | Waislamu. Hivyo shughuli zote za | | |||||||||||
| Waislamu. | Hii | inasababisha | serikali | zisimamishwe | wakati | wa | | ||||||
| usumbufu | | mkubwa | | kwa | kutekelezwa ibada hiyo. | | | | |||||
| Waislamu | kutekeleza | | ibada | | | | | | | ||||
| hii hususan | wafanyakazi | na | | | | | | | |||||
| wanafunzi. | | | | | | | | | | | | ||
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iruhusu na itambue | | ||||||||
| haitambui | | kuwepo | | kwa | uwepo wa mahakama za kadhi | | |||||||
8 | Mahakama | ya | Kadhi. | | Hii | zitazoendeshwa chini ya usimamizi | | |||||||
imepelekea | | Waislamu | wa Kadhi Mkuu na Naibu Kadhi | | ||||||||||
| kutohukumiana kwa sheria za | Mkuu | wataokao | chaguliwa | na | | ||||||||
| Kiislamu ambayo ni sehemu | Waislamu kwa kuzingatia sifa za | | |||||||||||
| ya ibada kwao na vile vile | kielimu katika fani ya sheria ya | | |||||||||||
| kukosekana | kwa msimamizi | Kiislamu na kutambuliwa na Rais | | ||||||||||
| wa haki | inapotokea | mzozo | wa Jamhuri ya Muungano. | | | ||||||||
| baina ya Waislamu. | | | | | | | | | | ||||
| Kwamba Kutokana na Katiba | Katiba mpya itambue uwepo wa | | |||||||||||
| iliyopo | | | kutokutambua | tume ya ushauri wa uteuzi wa | | ||||||||
| mahakama | ya | kadhi | ajira | makadhi na ajira ya makadhi kwa | | ||||||||
| rasmi za makadhi hazipo. | | mahakama za | kadhi | Tanzania | |
| | | | | ambayo kikatiba itaitwa Tume ya | | ||||
| | | | | Utumishi ya Mahakama ya Kadhi. | | ||||
9 | | | | | Tume | hii | itachaguliwa | na | | |
| | | | | Waislamu. Wajumbe wa Tume hiyo | | ||||
| | | | | watakuwa wafuatao: | | | | ||
| | | | | 1. Kadhi Mkuu ambaye atakuwa | | ||||
| | | | | mwenyekiti | kutoka bara | au | | ||
| | | | | visiwani; | | | | | |
| | | | | 2. Naibu Kadhi Mkuu ambaye | | ||||
| | | | | atakuwa naibu Mwenyekiti kutoka | | ||||
| | | | | bara au Visiwani; | | | | ||
| | | | | 3. Kadhi mmoja wa Mahakama ya | | ||||
| | | | | Kadhi ya Rufaa atakayechaguliwa | | ||||
| | | | | na Waislamu; | | | | | |
| | | | | 4. Wajumbe | watatu | kutoka | | ||
| | | | | mahakama ya kadhi. | | | | ||
| Kwamba suala la kugharimia | Katiba | mpya | iilazimishe | serikali | | ||||
| uendeshaji wa mahakama za | kugharimia gharama za kuendesha | | |||||||
10 | kadhi linapaswa liwe jukumu | mahakama za kadhi na gharama za | | |||||||
la serikali kupitia mfuko wa | watumishi wote kutoka | kwenye | | |||||||
| hazina ya serikali. Hii kwa | mfuko wa hazina ya serikali. | | | ||||||
| sababu Waislamu ni sehemu | | | | | | | |||
| ya walipa kodi. Kama walivyo | | | | | | | |||
| raia wengine, | wanastahili | | | | | | | ||
| kufaidika kutokana na | kodi | | | | | | | ||
| wanazolipa. | | | | | | | | | |
| Kwamba Mahakama ya Kadhi | Katiba mpya itambuwe uwepo wa | | |||||||
11 | haipaswi | kuingiliwa | na | Mahakama ya Rufaa ya Kiislamu. | | |||||
mahakama | ya | aina yoyote | | | | | | | ||
| isiyohukumu kwa sheria ya | | | | | | | |||
| Kiislamu. | Kwamba | upo | | | | | | | |
| umuhimu wa kuundwa kwa | | | | | | | |||
| Mahakama | ya | Rufaa | ili | | | | | | |
| kusikiliza kesi za rufaa kutoka | | | | | | | |||
| kwenye mahakama ya kadhi. | | | | | | | |||
| Kwamba | Waislamu | kwa | Katiba | mpya | itambue | haki | ya | |
| sheria | zilizopo | wanakwazika | Waislamu | kutekeleza | nakufuata | | |||||||||
| katika | kutekeleza | dini | yao | sheria ya Kiislamu katika ukamilifu | | ||||||||||
| kikamilifu. Inawawia vigumu | wake. | Katika | sehemu | zenye | | ||||||||||
12 | kutekeleza | | sheria | kwa | Waislamu | | wengi | sheria | | ya | | |||||
mnasaba wa dini yao. Kufuata | Kiislamu ifuatwe katika ukamilifu | | ||||||||||||||
| sheria za Kiislamu ni sehemu | wake. | Kila | Muislamu katika | | |||||||||||
| ya dini na ibada ya lazima | maeneo | | | haya | | atalazimika | | ||||||||
| kwa Muislamu, haki ambayo | kuhukumiwa | kwa | sheria | za | | ||||||||||
| katiba iliyopo imetoa uhuru. | Kiislamu. | Katika | maeneo | yenye | | ||||||||||
| | | | | | | | Waislamu wachache mahakama za | | |||||||
| | | | | | | | kadhi | ziwahukumu | Waislamu | | |||||
| | | | | | | | katika sheria zote za Kiislamu | | |||||||
| | | | | | | | isipokuwa za jinai. | | | | | | |||
| Kwamba Katiba iliyopo haitoi | Katiba mpya iweke uthibiti wa | | |||||||||||||
| muongozo juu ya ushirikiano | matumizi ya fedha za umma kwa | | |||||||||||||
| baina ya serikali na dini au | utaratibu | wa | upendeleo | | wa | | |||||||||
| madhehebu | ya | dini, | hali | madhehebu ya dini yoyote ama | | ||||||||||
| iliyopelekea | kuwepo | kwa | kinyemela au kwa njia ya | | |||||||||||
13 | malalamiko | ya | kuwepo | kwa | urasimishaji | kupitia mikataba | au | | ||||||||
upendeleo | | | | maalum | makubaliano. | | | | | | ||||||
| unaoneemesha | | Ukristo | | | | | | | | | | ||||
| (hususan | Ukatoliki) hususan | | | | | | | | | | |||||
| katika sekta ya elimu na afya | | | | | | | | | | ||||||
| kwa kutumia hazina ya taifa. | | | | | | | | | | ||||||
| Mathalani | | kwa | kupitia | | | | | | | | | | |||
| mkataba | wa | ufahamiano | | | | | | | | | | ||||
| [MoU] baina ya serikali na | | | | | | | | | | ||||||
| kanisa | | serikali | hutenga | | | | | | | | | | |||
| mamilioni ya fedha za umma | | | | | | | | | | ||||||
| kila | mwaka | | kunufaisha | | | | | | | | | | |||
| mipango ya afya na elimu ya | | | | | | | | | | ||||||
| kanisa. | | | | | | | | | | | | | | | |
SEHEMU YA II: MASUALA YA MUUNGANO NA SERIKALI YA MUUNGANO
| NA. | HOJA | | | | | | MAONI | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itambue uhalali wa | | |||
| | inatambua uwepo wa serikali | serikali tatu: Serikali ya Zanzibar, | | |||||
| | mbili | katika | Jamhuri | ya | Serikali ya Tanganyika na Serikali | | ||
| 14 | Muungano, | | jambo | ambalo | ya Muungano. | | ||
| limesababisha utata na kero | | | ||||||
| | kubwa ya muungano hususan | | | |||||
| | kwa upande wa serikali ya | | | |||||
| | Zanzibar. Yapo malalamiko | | | |||||
| | kwa upande | wa | Zanzibar | | | |||
| | kuwa wameporwa madaraka | | | |||||
| | ya kiinchi | (sovereignity) | na | | | |||
| | serikali | ya | muungano. | Hii | | | ||
| | imepelekea mpaka baadhi yao | | | |||||
| | kudai muungano uvunjwe. | | | | ||||
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu | |
| inaainisha | tu | maeneo | ya | utaofanya | | | | masuala | | |||||
15 | muungano ambao | chimbuko | yatakayokubalika | kuwa | ya | | |||||||||
| lake ni makubaliano baina ya | muungano yapitishwe kwa kura ya | | ||||||||||||
| viongozi | | wa | | | iliyokuwa | maoni | (referandum) | kwa | | |||||
| Tanganyika na Zanzibar bila | kuzingatia uwiano wa sehemu hizi | | ||||||||||||
| ridhaa ya wananchi wa pande | za muungano. Kila upande ukubali | | ||||||||||||
| mbili hizi. Hali hii imepelekea | masuala hayo kwa asilimia 75 au | | ||||||||||||
| malalamiko | | | | kwamba | zaidi ya wananchi wake ndipo | | ||||||||
| wananchi hawakuhusishwa. | yaingizwe | katika | orodha | ya | | |||||||||
| | | | | | | | | maeneo ya Muungano | | | | |||
| Kwamba | Katiba | | iliyopo | iko | Katiba mpya | iweke | utaratibu | | ||||||
| kimya juu ya mgawo wa | utakaowezesha cheo cha rais wa | | ||||||||||||
| madaraka ya rais na naibu | jamhuri ya muungano kiwe cha | | ||||||||||||
16 | rais, | mawaziri, | | manaibu | kupokezana baina ya pande mbili | | |||||||||
waziri kutoka pande mbili za | za muungano yaani Tanganyika na | | |||||||||||||
| muungano. | Hii | | imepelekea | Zanzibar. Vyeo vya mawaziri na | | |||||||||
| Wazanzibari | | | kulalamika | manaibu | mawaziri, | makatibu | | |||||||
| kwamba huenda muda mrefu | wakuu wa wizara na makatibu | | ||||||||||||
| rais wa jamhuri ya muungano | wakuu wasaidizi katika serikali ya | | ||||||||||||
| akatoka bara tu. | | | | | muungano | vitolewe | kwa uwiano | | ||||||
| | | | | | | | | uliosawa. Mathalani | waziri akiwa | | ||||
| | | | | | | | | mtanganyika | naibu | | wake | awe | | |
| | | | | | | | | mzanzibari. | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke wazi kwamba | | |||||||||
| haikuweka | wazi | mgao | wa | mali ya asili kama vile madini, gesi | | |||||||||
17 | maliasili baina ya pande mbili | na mafuta n.k. havitakuwa katika | | ||||||||||||
za muungano. Hii imepelekea | masuala | ya | muungano. | Kila | | ||||||||||
| kuwe | na mvutano | kwamba | upande mmoja wa muungano uwe | | ||||||||||
| iwapo | mafuta | yatapatikana | unamiliki mali ya asili yake. | | | |||||||||
| yawe ni ya muungano au la. | | | | | | | | |||||||
| Kwamba | Katiba | | iliyopo | iko | Katiba mpya iweke utaratibu za | | ||||||||
| kimya kuhusu mahusiano ya | kuziwezesha pande zote mbili za | | ||||||||||||
| serikali | ya | Zanzibar katika | muungano | | (Tanganyika | na | | |||||||
| medani | za | kimataifa | kwa | Zanzibar) kuwa na mahusiano na | | |||||||||
| maeneo yasiyo ya muungano. | mashirikiano na serikali za nje na | | ||||||||||||
| Hii imepelekea kuwepo kwa | taasisi za kimataifa bila pingamizi | |
18 | malalamiko | upande | wa | kutoka | kwenye | serikali | ya | | |||||||
| Zanzibari | | kuwa | hawanufaiki | muungano. | | | | | | |||||
| na | wanabanwa | | kuwa | na | | | | | | | | |||
| mahusiano na nchi na taasisi | | | | | | | | |||||||
| nyingine | | | za | | kimataifa, | | | | | | | | ||
| mathalani | | kujiunga na | OIC | | | | | | | | ||||
| ambayo ingesaidia utekelezaji | | | | | | | | |||||||
| miradi ya mambo yasiyokuwa | | | | | | | | |||||||
| ya muungano. | | | | | | | | | | | ||||
| Kwamba | | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itambue uwepo wa | | ||||||||
| haitambui | | | kuwepo | kwa | Mahakama Kuu ya Katiba ambayo | | ||||||||
| Mahakama Kuu ya Katiba. Hii | itakuwa na uwezo na nguvu za | | ||||||||||||
| imepelekea | kukosekana | kwa | Kisheria | za | kutafsiri vipengere | | ||||||||
19 | suluhusho | | la | utata | mbalimbali | vya Katiba | vyenye | | |||||||
unapojitokeza wa | masuala | utata na pia kubatilisha sheria | | ||||||||||||
| mbali mbali ya muungano na | yoyote | itakayotungwa | ambayo | | ||||||||||
| mengineyo. Mathalani, utata | inapingana na Katiba. | | | | | |||||||||
| wa Zanzibar kama nchi kamili | | | | | | | | |||||||
| au | vinginevyo | unashindwa | | | | | | | | |||||
| kupewa | | | ufumbuzi | wa | | | | | | | | |||
| kisheria. | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | | haitambui | Katiba mpya itambue uwepo wa | | ||||||||
20 | kuwepo kwa Mahakama Kuu | Mahakama Kuu ya Rufaa ya | | ||||||||||||
ya Rufaa | ya Katiba ambayo | Katiba. | | | | | | | |||||||
| itahusika na kesi za rufaa | | | | | | | | |||||||
| kutoka Mahakama Kuu ya | | | | | | | | |||||||
| Katiba. | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | iko | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | ||||||||
| kimya juu ya nafasi ya Spika | kupokezana nafasi ya spika na | | ||||||||||||
21 | na Naibu Spika wa bunge la | naibu spika baina ya sehemu mbili | | ||||||||||||
Jamhuri | ya | Muungano | ya | za muungano. Yaani spika akiwa | | ||||||||||
| Tanzania. | | Tangu | kuasisiwa | mtanganyika | naibu | wake | awe | | ||||||
| kwa | muungano | nafasi | hizo | mzanzibari. | Nafasi | | hizo | | ||||||
| zimekuwa | | zikihodhiwa | na | zibadilishwe | kila | baada | ya | | ||||||
| watanganyika. Hii imepelekea | uchaguzi mkuu wa rais na | | ||||||||||||
| kuwa ni moja ya kero kubwa | wabunge. | | | | | | ||||||||
| za muungano. | | | | | | | | | | | | | | ||
22 | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itambue kuwepo kwa | | |||||||||||
| inamtambua | Rais, | Makamu | mawaziri wakuu kwa kila upande | | |||||||||||
| wa Rais na Waziri Mkuu | wa muungano kama wakuu wa | | |||||||||||||
| kama viongozi wa juu wa | shughuli za serikali zao. Kisiwepo | | |||||||||||||
| Jamhuri | ya | Muungano | ya | cheo cha waziri mkuu wa serikali | | ||||||||||
| Tanzania. Waziri mkuu kwa | ya | muungano. | | Shughuli | zake | | |||||||||
| utaratibu | wa | sasa | hana | zifanywe na makamu wa rais wa | | ||||||||||
| shughuli | | na | | mamlaka | serikali | ya | muungano, | ambaye | | ||||||
| yakinifu upande wa Zanzibar. | ndiye msaidizi mkuu wa rais katika | | |||||||||||||
| Cheo hiki si muafaka kwa | serikali ya muungano | | | | |||||||||||
| hivyo | kisiwe | | katika | | | | | | | | | | |||
| muungano. | | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | Katiba | iliyopo | iko | Katiba | iweke | | utaratibu | wa | | ||||||
23 | kimya juu ya uwezekano wa | kuvunjika kwa | muungano iwapo | | ||||||||||||
kuvunjika muungano. | | | itatokea dharura ya jambo hilo na | | ||||||||||||
| | | | | | | | ianishe | | sababu | zinazoweza | | ||||
| | | | | | | | kupelekea | kuvunjika | | kwa | | ||||
| | | | | | | | muungano. | | | | | | | ||
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katika kudumisha uhuru wa maoni | | |||||||||||
| hairuhusu chama | cha | siasa | chama chochote hata kama kina | | |||||||||||
| chenye | lengo | la | kuvunja | malengo ya kuvunjwa muungano | | ||||||||||
| muungano na chenye lengo la | kiandikishwe endapo kinaona kuna | | |||||||||||||
24 | kutumia | | nguvu | | au | maslahi kwa wananchi juu ya hilo | | |||||||||
mapambano kufikia malengo | na | kwamba | kuvunjika | kwa | | |||||||||||
| ya siasa. | | | | | | | muungano ndiyo njia iliyobaki ya | | |||||||
| | | | | | | | kuondoa | | dhuluma. | Chama | | ||||
| | | | | | | | kiruhusiwe kutumia nguvu kufikia | | |||||||
| | | | | | | | malengo ya kisiasa endapo njia ya | | |||||||
| | | | | | | | amani | | na | | mazungumzo | | |||
| | | | | | | | imeshindikana kuondoa dhuluma. | | |||||||
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iruhusu kuwepo kwa | | |||||||||||
25 | hairuhusu kusajili chama cha | chama cha namna hiyo. Hii itatoa | | |||||||||||||
siasa chenye | wafuasi | katika | uhuru kamili kwa raia wa pande | | ||||||||||||
| upande | mmoja | tu | | wa | mbili hizi kutoa maoni na kutetea | | |||||||||
| muungano | au | | kuendesha | maslahi | na | maendeleo | yao | hata | |
| shughuli zake katika upande | kama ni wachache [bila kujali idadi |
| mmoja tu wa muungano. | yao] |
SEHEMU YA III: HADHI NA MADARAKA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA
| NA. | | | HOJA | | | | MAONI | | | | ||
| | Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya | iruhusu | rais | | ||||
| 26 | inampa | rais | hadhi | na | kufunguliwa | mashtaka | kwa | kosa | | |||
| mamlaka makubwa kiasi cha | lolote akiwa ndani au nje ya | | ||||||||||
| | kuwa | juu | ya | sheria | madaraka. | Hii | itasaidia katika | | ||||
| | (asiyeweza kushitakiwa) kwa | uwajibikaji wa rais na kuzuia | | |||||||||
| | kosa la aina yoyote akiwepo | ufisadi na ubadhirifu wa mali za | | |||||||||
| | madarakani au hata akiwa nje | wananchi kwa kutumia madaraka | | |||||||||
| | ya madaraka | | | | aliyopewa na wananchi. | | | | ||||
| | Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya isimpe Rais madaraka | | ||||||
| 27 | imempa mamlaka Rais kutoa | ya kutoa msamaha kwa kuwa hili | | |||||||||
| | misamaha kwa watenda kosa | linapelekea kuingilia maamuzi ya | | |||||||||
| | lolote. | | | | | | mahakama. | | | | | |
| | Kwamba | Serikali haizingatii | Katiba mpya iweke masharti ya | | ||||||||
| | uwiano | wa | kidini katika | kuzingatia uwiano wa kidini kwa | | |||||||
| 28 | uteuzi | | wa | | nyadhifa | wateuzi katika uteuzi wa nyadhifa | | |||||
| mbalimbali | serikalini | na | mbalimbali (viongozi na watendaji | | ||||||||
| | vyombo | vyake | (viongozi | na | waandamizi | serikalini) | kuondoa | | ||||
| | watendaji | waandamizi). | Hii | hisia za kuwepo upendeleo wa | | |||||||
| | inapelekea | kuwepo | hisia | za | kidini. | | | | | | ||
| | upendeleo na udini. | | | | | | | | | |||
| | Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke wazi kuwa | | ||||||
| | inampa | | madaraka | rais | baraza la mawaziri halitatokana na | | ||||||
| | kuchagua mawaziri kutokana | wabunge | waliochaguliwa | na | | |||||||
| 29 | na wabunge waliochaguliwa | wananchi, Rais achague mawaziri | | |||||||||
| na wananchi. Hii imepelekea | kama watendaji wa serikali nje ya | |
| wabunge | | kushughulikia | bunge. Mawaziri waingie bungeni | | |||||||||
| maslahi ya majimbo yao zaidi | kama wawakilishi wa serikali na | | |||||||||||
| kuliko maslahi ya kitaifa. | | siyo wawakilishi wa majimbo na | | ||||||||||
| | | | | | | | | | serikali kama ilivyo sasa. | | | | |
| Kwamba | | Katiba | | iliyopo | Katiba mpya isimpe madaraka rais, | | |||||||
30 | inampa | madaraka | | makubwa | mkuu wa Mkoa na wa wilaya ya | | ||||||||
rais kiasi cha kuwaweka watu | kumuweka | mtu kizuizini | bila | | ||||||||||
| kizuizini | bila | kufikishwa | kufikishwa mahakamani. | Katiba | | ||||||||
| mahakamani. Huu ni uvunjifu | mpya isimpe rais mamlaka ya | | |||||||||||
| wa haki za binaadamu. | | | kimahakama. | | | | | ||||||
| Sheria imempa madaraka rais | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | |||||||||||
| kuteua | watendaji | wa | Taasisi | kuteuliwa | watendaji | | wa | | |||||
31 | ya | Kuzuia | na | | Kuondoa | TAKUKURU na Bunge na bila | | |||||||
Rushwa. | Hii | imepelekea | kuingiliwa | utendaji wake | na | | ||||||||
| Taasisi | | hiyo | kushindwa | Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai. | | ||||||||
| kutekeleza | majukumu yake | | | | | | |||||||
| kwa | uhuru | na | kuingiliwa | | | | | | |||||
| utendaji wake na Mkurugenzi | | | | | | ||||||||
| wa Mashitaka ya Jinai. | | | | | | | | ||||||
| Katiba | | iliyopo | | inampa | Katiba mpya itoe madaraka kwa | | |||||||
| madaraka | rais kuteua | Tume | bunge badala ya rais kuteua Tume | | |||||||||
| ya Uchaguzi ya Taifa. Hii | ya Uchaguzi ya Taifa. Katiba mpya | | |||||||||||
32 | imepelekea | kuwepo | | kwa | vilevile itoe fursa kwa raia kuhoji | | ||||||||
malalamiko | ya kutokuwepo | matokeo ya uchaguzi ya rais | | |||||||||||
| tume | | huru | ya | | uchaguzi. | mahakamani. | Mahakama | na | sio | | |||
| Kwamba kwa ajili hii matokeo | tume ya uchaguzi kiwe ndicho | | |||||||||||
| ya uchaguzi wa rais pindi | chombo cha kuthibitisha uhalali wa | | |||||||||||
| yanapotangazwa na tume ya | matokeo ya uchaguzi wa rais. | | | ||||||||||
| uchaguzi hayawezi kuhojiwa | | | | | | ||||||||
| mahakamani. | | | | | | | | | | ||||
| Kwamba | | Katiba | | iliyopo | Katiba mpya isimpe mamlaka rais | | |||||||
33 | inampa | madaraka | rais | ya | kulivunja bunge. | | | | ||||||
kulivunja | bunge. | Hii | ni | | | | | | ||||||
| kuwanyima haki wananchi ya | | | | | | ||||||||
| kuendelea kuwa na viongozi | | | | | | ||||||||
| waliowachagua kwa | ridhaa | | | | | |
| yao. | | | | | |
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | |
34 | inampa madaraka | rais ya | uteuzi wa nyadhifa hizo uwe kwa | | ||
kuteua Jaji Mkuu, Jaji | kushauriana Rais na Tume ya | | ||||
| Kiongozi, Jaji wa Mahakama | Utumishi wa Mahakama na | | |||
| Kuu na Jaji wa Mahakama ya | kuidhinishwa uteuzi huo na bunge. | | |||
| Rufaa bila ya idhini ya bunge. | | | |||
| Hii imepelekea kuwepo kwa | | | |||
| malalamiko | ya | mahakama | | | |
| hizo kutokuwa | huru katika | | | ||
| kutekeleza majukumu yake. | | |
SEHEMU YA IV: UWAKILISHI WA RAIA KATIKA MIHIMILI MIKUU YA DOLA
| | HOJA | | | | | | MAONI | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | |||
| | haitambui | umuhimu | wa | kuwepo uwakilishi wa dini katika | | |||
| | kuwepo wawakilishi wa dini | vyombo hivyo vilivyotajwa kwa | | |||||
35 | | katika vyombo | vifuatavyo: | ajili ya kulinda maadili na maslahi | | ||||
| Bunge, Baraza la Wawakilishi, | ya dini husika. | | ||||||
| | na Baraza | la | | Madiwani, | | | ||
| | Mabaraza | ya | Usalama. | Hii | | | ||
| | inapelekea | | | | kufanywa | | | |
| | maamuzi ambayo yako nje na | | | |||||
| | maadili na sheria za dini | | | |||||
| | husika. | | | | | | | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | |||
36 | | inaruhusu | mtu | kujitangaza | wananchi kupendekeza wagombea | | |||
| kufaa | kwake | | katika | kupitia vyama vya siasa au vikundi | |
| kugombea uongozi na hivyo | maalum (wagombea binafsi) ili | | ||||||||||||
| kupelekea | | mazingira | ya | kupigiwa | kura. | Wananchi | | |||||||
| rushwa | na | uongo. | Hii | wapendekeze | na | wawanadi | | |||||||
| imepelekea | | | wanasiasa | wapigiwa kura. | | | | | ||||||
| kujipachika | sifa | na | uwezo | | | | | | | | ||||
| wasio nao. | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya itoe nafasi kwa | | |||||||||
| inamzuia | | raia | yeyote | mgombea binafsi kugombea katika | | |||||||||
| kugombea | | uongozi | katika | nafsi zote za uongozi kwa sharti ya | | |||||||||
37 | nafasi yoyote mpaka awe ni | kupendekezwa na kundi la watu | | ||||||||||||
mwanachama wa chama cha | raia | wa | Tanzania wasiopungua | | |||||||||||
| siasa | kilichosajiliwa. | Hii | kumi na moja. | | | | | |||||||
| inawanyima | | raia | wasio | | | | | | | | ||||
| wanachama | wa | vyama | vya | | | | | | | | ||||
| siasa kushiriki katika shughuli | | | | | | | | |||||||
| za uongozi na bila shaka | | | | | | | | |||||||
| kuzuia | wenye | sifa | za | | | | | | | | ||||
| kuongoza | taifa | | kwa | kigezo | | | | | | | | |||
| cha | kutokuwa | mwanachama | | | | | | | | |||||
| wa chama cha siasa. | | | | | | | | | | |||||
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iruhusu uwepo wa | | |||||||||
38 | inapiga marufuku kuwepo wa | vyama vya kisiasa vya kidini kama | | ||||||||||||
| vyama vya kisiasa vya kidini. | ilivyo | katika | nchi | nyingine | | |||||||||
| | | | | | | | | mathalani Ujerumani. | | | | |||
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba | mpya | iruhusu | | |||||||
39 | inapiga | | | | marufuku | kuandikishwa chama | cha kisiasa | | |||||||
kuandikishwa | | chama | cha | chenye lengo la kupigania haki, | | ||||||||||
| siasa | chenye | malengo | ya | maendeleo na maslahi ya imani ya | | |||||||||
| kutetea maslahi na maendeleo | dini husika. Katiba itambue uhalali | | ||||||||||||
| ya dini. Hii inatoa tafsiri | wa raia kupigania maslahi na | | ||||||||||||
| potofu ya | dini | | kutorandana | maendeleo ya dini yake. | | | ||||||||
| na siasa | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | |||||||||
40 | inatambua | mgawanyo | wa | kuigawa | nchi | katika majimbo | | ||||||||
| nchi katika mikoa na wilaya | yatayoongozwa | na | serikali | za | | |||||||||
| n.k. | kiutawala. | | Wakuu | wa | majimbo | zitakazochaguliwa | na | |
| mikoa na wakuu wa wilaya | wananchi. | Mkuu | wa | jimbo | | |||||||||
| wanateuliwa na rais. | | | achaguliwe na wananchi. | | | |||||||||
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba | mpya | ifute | uwakilishi | | |||||||
| inaruhusu | kuwepo | kwa | viti | kupitia viti maalum katika bunge | | |||||||||
| maalum | vya | wanawake | kwa misingi ya jinsia. Mtu | | ||||||||||
| bungeni kwa misingi ya jinsia. | achaguliwe kwa sifa za kiutendaji | | ||||||||||||
41 | Yamekuwepo malalamiko ya | na siyo jinsia yake. | | | | ||||||||||
kwamba | | baadhi | ya | | | | | | | | |||||
| wanaoteuliwa kwa kigezo cha | | | | | | | | |||||||
| jinsia hawana sifa na uwezo | | | | | | | | |||||||
| wa | kuongoza | na | kwamba | | | | | | | | ||||
| watu wa jinsia ya kiume | | | | | | | | |||||||
| hawapewi | | upendeleo | na | | | | | | | | ||||
| kwamba ipo hatari ya kuzuka | | | | | | | | |||||||
| mfumo | jike | (kama Kenya | | | | | | | | |||||
| inakoelekea). | | | | | | | | | | | | |||
| Kwamba | Yapo | malalamiko | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | ||||||||||
| dhidi | | ya | | wabunge | kuwawezesha | wapiga | kura | | ||||||
| kutowajibika | katika | majimbo | kuwadhibiti | na | kuwawajibisha | | ||||||||
42 | yao | na | hakuna | utaratibu | wabunge wao ambao hawatekelezi | | |||||||||
unaowawezesha wapiga kura | wajibu wao ipasavyo. Katiba mpya | | |||||||||||||
| kuwaondoa | wabunge | hao. | iwawezeshe | | wapiga | kura | | |||||||
| Kwamba | wabunge | hawana | kuwaondoa | | | wabunge | | |||||||
| makazi | | katika | sehemu | wasiotekeleza ipasavyo wajibu wao | | |||||||||
| wanazoziwakilisha. | | | bila kusubiri kipindi cha uchaguzi | | ||||||||||
| | | | | | | | | mpya. Katiba iweke masharti ya | | |||||
| | | | | | | | | mbunge kuwa na makazi katika | | |||||
| | | | | | | | | jimbo analoliwakilisha. | | | | |||
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | | ||||||||||
| inatambua | | kuwepo | kwa | kujaza | nafasi | ya | mbunge | | ||||||
43 | uchaguzi mdogo wa mbunge | inapokuwa | wazi. | Nafasi | ya | | |||||||||
pindi | zinapotokea | sababu | mbunge | ijazwe | mathalani | kwa | | ||||||||
| mbalimbali kama vile kufariki | utaratibu wa chama husika au | | ||||||||||||
| kwa | | mbunge | n.k. | Hii | kikundi | | husika | kumteuwa | | |||||
| imepelekea taifa kugharimika | mwanachama au mtu mwingine | | ||||||||||||
| sana kwa ajili ya chaguzi hizi. | kurithi | nafasi | ya | mbunge | |
| | | | aliyeondoka. | |
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke utaratibu wa | |
44 | haitambui uwepo wa serikali | kuunda serikali ya mseto. | | ||
ya mseto. | Hii inapelekea | | | ||
| serikali | kuundwa | kwa | | |
| uwakilishi wa watu wachache | | | ||
| na hivyo kukosa sifa ya | | | ||
| serikali ya umoja wa kitaifa. | | |
SEHEMU V: HIFADHI NA MATUMIZI YA ARDHI NA RASILIMALI ZA TAIFA
| NA. | HOJA | | | | | | MAONI | | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iweke bayana haki ya | | ||||
| | imempa haki mtu ya kumiliki | mtu kumiliki na kutumia mali yake | | ||||||
| 45 | na | kutumia | | mali | zake | kwa kuzingatia sheria ya imani ya | | ||
| atakavyo bila kuchunga sheria | dini yake. | | |||||||
| | na imani ya dini yake au za | | | ||||||
| | watu | wengine. | | (Mathalani | | | |||
| | mtu | kurithithisha | mali | yake | | | |||
| | atakavyo yeye | kinyume na | | | |||||
| | sheria ya dini yake) | | | | | ||||
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba iitake serikali kufanya sensa | | ||||
| 46 | haizungumzii | umuhimu wa | baada ya kila miaka mitano kujua | | |||||
| sensa | katika | kujua takwimu | idadi ya watu, hali zao na idadi ya | | |||||
| | za watu. | Hii | imepelekea | wafuasi wa dini mbalimbali kwa | | ||||
| | kutolewa | | | | takwimu | ajili ya maendeleo ya kijamii na | | ||
| | zisizokuwa | rasmi | na | zenye | kuweka uwiano katika kutoa haki | | |||
| | malengo ya upotoshaji. | | sawa na huduma kwa raia wake. | | |||||
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya isiruhusu kwa hali | | ||||
| 47 | imetoa mwanya | kwa | ardhi | yoyote kuwekwa kwa vituo vya | | ||||
| yetu kutumika kwa malengo | kigeni vya kijeshi na upelelezi | | |||||||
| | ya | ukoloni | mamboleo. | katika Jamhuri ya Muungano wa | | ||||
| | Mathalan | haitoi | pingamizi | Tanzania. | | ||||
| | kwa | mataifa | ya | nje kuweka | | | |||
| vituo vya kijeshi na upelelezi | | | | | | | | | |||||||||
| katika ardhi ya Tanzania. | | | | | | | | | |||||||||
| Kwamba | | Katiba | | iliyopo | Katiba mpya iweke wazi kwamba | | |||||||||||
| imeimilikisha | ardhi | kwa | ardhi ni mali ya raia (wananchi) na | | |||||||||||||
| serikali yaani kikatiba ardhi ni | serikali ni wakala tu wa raia katika | | |||||||||||||||
| mali | | ya | | | serikali. | Hii | kugawa ardhi kwa uadilifu na kwa | | |||||||||
48 | imepelekea | | serikali | kuwa na | ridhaa ya raia. Umiliki wa ardhi | | ||||||||||||
mamlaka | | ya | kumilikisha | uweze | kuondolewa | kwa | mmiliki | | ||||||||||
| ardhi kwa yeyote bila ridhaa | iwapo | atashindwa | kuiendeleza | | |||||||||||||
| ya wananchi, hata kama ikiwa | ardhi kwa miaka mitatu mfululizo. | | |||||||||||||||
| wanaomilikishwa | ni | wageni. | Raia | aweze | kuuza | ardhi | | ||||||||||
| Imerahisisha | pia | uporwaji | aliyomilikishwa | | kwa | raia | | ||||||||||
| unaofanywa | | na | | wageni | mwingine au kukodisha kwa asiye | | |||||||||||
| (mataifa | | | | ya | | | kigeni | raia kwa | mkataba | unaoweza | | ||||||
| wakishirikiana | na | | baadhi ya | kuhuishwa kila baada ya miaka | | ||||||||||||
| viongozi) | | wa | | | maliasili | mitatu. | Rais | aweze | kusitisha | | |||||||
| zilizoko | chini | ya | | ardhi | umiliki wa ardhi wa mtu au | | |||||||||||
| (madini) | | na | | juu | | yake | kikundi kidogo cha watu kwa | | |||||||||
| (wanyama pori, misitu, mazao | manufaa ya waliyo wengi maadam | | |||||||||||||||
| ya baharini n.k.) | | | | | mmliki | au | wamiliki | watalipwa | | ||||||||
| | | | | | | | | | | fidia inayolingana na thamani ya | | ||||||
| | | | | | | | | | | ardhi | wanayopoteza | umiliki na | | ||||
| | | | | | | | | | | vilivyomo kwa wakati huo | | | |||||
| Kwamba | | Katiba | | iliyopo | Katiba mpya itoe maelekezo kwa | | |||||||||||
| haitambui | | umilikishaji | wa | sheria za mipango miji kulenga | | ||||||||||||
49 | ardhi kwa uwiano wa kidini. | ugawaji wa ardhi kwa kuainisha | | |||||||||||||||
Hii | imepelekea | | mathalani | maeneo ya dini kwa mujibu wa | | |||||||||||||
| upimaji | wa | maeneo | mapya | uwiano wa kidini katika eneo | | ||||||||||||
| kupitishwa | | bila | | kuainisha | husika. | | | | | | | | |||||
| maeneo | maalum | | kwa | dini | | | | | | | | | |||||
| husika | na | | hivyo | | kupelekea | | | | | | | | | ||||
| mivutano | isiyo | ya | lazima. | | | | | | | | | ||||||
| Zipo hisia za umilikishaji wa | | | | | | | | | |||||||||
| ardhi | kwa | upendeleo | wa | | | | | | | | | ||||||
| kidini. | | | | | | | | | | | | | | | | | |
| Kwamba | Sheria | | za | nchi | Katiba | impe | mamlaka | huru | |
| hazimpi madaraka | Mkaguzi | Mkaguzi | Mkuu wa | Serikali | | |||
50 | Mkuu | wa | Serikali | kumfungulia | mashitaka | yeyote | | ||
| kumfungulia | mashitaka | anayetuhumiwa kwa ubadhirifu au | | |||||
| mtumishi | wa | serikali | ufisadi wa mali ya umma. | | | |||
| anayetuhumiwa | kufanya | | | | | | ||
| ubadhirifu | na ufisadi katika | | | | | | ||
| mali ya umma. | | | | | | | | |
| Kwamba Katiba iliyopo | iko | Katiba | mpya | ibainishe | wazi | | ||
| kimya juu ya umiliki, ulinzi, | kwamba mali za asili ni mali za raia | | ||||||
| matumizi na udhibiti wa mali | wa Tanzania tu kwa kila upande | | ||||||
51 | za asili za Tanzania, zikiwepo | wa muungano na iweke utaratibu | | ||||||
madini, mazao ya | baharini, | madhubuti wa kulinda mali hizi | | ||||||
| wanyama pori, misitu n.k. Hii | dhidi ya ufisadi wa ndani na nje. | | ||||||
| imepelekea | matumizi | ya | | | | | | |
| kiholela, ubadhilifu na uporaji | | | | | | |||
| wa mali hizi unaofanywa na | | | | | | |||
| mafisadi wa ndani na nje na | | | | | | |||
| hivyo kuendelea kusababisha | | | | | | |||
| hali ya | umasikini | kwa | | | | | | |
| Watanzania. | | | | | | | |
SEHEMU YA VI: VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA WA RAIA
| NA. | HOJA | | | | | MAONI | | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya isiruhusu kwa hali | | |||
| | imetoa | mwanya | kwa ardhi | yoyote kuwekwa kwa vituo vya | | |||
| 52 | yetu kutumika kwa malengo | kigeni vya kijeshi na upelelezi | | |||||
| ya | ukoloni | mamboleo. | katika Jamhuri ya Muungano wa | | ||||
| | Mathalan | haitoi | | pingamizi | Tanzania. | | | |
| | kwa mataifa ya nje kuweka | | | | ||||
| | vituo vya kijeshi na upelelezi | | | | ||||
| | katika ardhi ya Tanzania. | | | | ||||
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya iendelee | kupiga | | ||
| | haidhibiti | | | kikamilifu | marufuku kuwepo kwa | tume na | |
uundwaji kiholela wa tume na majeshi haya yasiyo rasmi na majeshi ya ulinzi nje ya yale kuweka utaratibu thabiti wa kuziba
53 ya serikali. Mathalani tume ya mianya ya kuundwa mengine ya majeshi ya Kikatoliki katika mfano huo.
Jeshi la Ulinzi la Tanzania na kuwepo kwa Jeshi la Wokovu la Wakristo
SEHEMU YA VI: USAWA, HAKI YA KUISHI NA HAKI ZA BINADAMU
| NA. | | HOJA | | | | MAONI | | | |
| | Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba mpya isitishe kuitambulisha | | ||||
| 54 | inaitambulisha | | Tanzania | Tanzania kama nchi ya kijamaa na | | ||||
| kama nchi ya ujamaa tofauti | Watanzania kama wajamaa. Ubaki | | |||||||
| | na uhalisia wa mazingira ya | mfumo wa siasa ya kujitegemea | | ||||||
| | kisiasa | na | kiuchumi | na | (kutokuwa | tegemezi | na | | |
| | kiitikadi yaliyopo nchini | | ombaomba). | | | ||||
| | Kwamba Katiba iliyopo haitoi | Katiba mpya ianishe tafsiri sahihi | | ||||||
| 55 | tafsiri yakinifu | ya | neno | ya USAWA kwa mujibu wa imani | | ||||
| USAWA (mfano usawa katika | za dini ya mtu. Hii itasaidia | | |||||||
| | mirathi, | usawa | katika | wananchi | kutafsiri USAWA | kwa | | ||
| | majukumu ya mwanamke na | mnasaba wa mafundisho ya imani | | ||||||
| | mwanamume | katika | jamii | ya dini zao. | | | |||
| | n.k). | | | | | | | | |
| | Kwamba Katiba iliyopo inatoa | Katiba mpya iweke mipaka ya | | ||||||
| 56 | uhuru na haki ya kuishi usio | uhuru na haki ya kuishi yenye | | ||||||
| na mipaka na usiotilia maani | kuzingatia uhuru na haki ya kuishi | | |||||||
| | uhuru na haki za wengine | ya wengine. Mathalani iweke | | ||||||
| | kuishi. | | | | | sheria ya kuuawa kwa mtu | | ||
| | | | | | | aliyeuwa | mwingine au | watu | |
| | | | | | | wengine kwa dhulma. | | |
| Kwamba | Katiba | iliyopo | Katiba isiruhusu mahusiano yoyote | | ||||||
| haikatazi mahusiano ya jimai | ya kimapenzi nje ya ndoa na | | ||||||||
57 | na kimapenzi | nje ya | ndoa | mahusiano ya kimapenzi ya watu | | ||||||
pamoja na mahusiano ya | wa jinsia moja na ndoa ya watu wa | | |||||||||
| namna hiyo kwa watu wa | jinsia moja. Katiba ipige marufuku | | ||||||||
| jinsia moja. Hii imepelekea | vitendo | au | utengenezaji | wa | | |||||
| kuporomoka kwa maadili na | mazingira | yanayopelekea | au | | ||||||
| mparaganyiko | katika | | jamii, | kurahisisha mahusiano ya namna | | |||||
| kuenea | kwa | watoto | wa | hiyo. | | | | | | |
| mitaani | na | maradhi | ya | | | | | | | |
| ukimwi na maradhi mengine | | | | | | | ||||
| ya zinaa. | | | | | | | | | | |
| Kwamba | Mfumo wa | Elimu | Katiba mpya iruhusu watu wa dini | | ||||||
58 | uliopo | hauwapi | | fursa | mbalimbali kuwa na mfumo wa | | |||||
Waislamu | kuchunga | maadili | elimu | utakaozingatia | imani, | | |||||
| na itikadi ya dini yao. Ipo | maadili, mila, itikadi na desturi za | | ||||||||
| mitaala ya elimu iliyotofauti | dini zao. | | | | | | ||||
| na ile ya elimu ya Mtanzania | | | | | | | ||||
| ambayo | | imeruhusiwa | | | | | | | ||
| (Cambridge, Marekani | n.k). | | | | | | | |||
| Kwamba | Waislamu | | wana | | | | | | | |
| haki ya msingi ya kufuata | | | | | | | ||||
| mfumo wa elimu wa Kiislamu | | | | | | | ||||
| kama sehemu ya ibada katika | | | | | | | ||||
| Uislamu. | | | | | | | | | | |
43 | Kwamba Sheria za nchi | Katiba | mpya | impunguzie | | ||||||
| zinampa mamlaka makubwa | madaraka | | Mkurugenzi | wa | | |||||
| Mkurugenzi wa Mashitaka ya | Mashitaka ya | Jinai. Imlazimishe | | |||||||
| Jinai [DPP] kiasi cha kuwa na | kupeleka | kesi | mahakamani na | | ||||||
| hiari | kuifikisha | | kesi | isimpe uwezo wa kufuta kesi kwa | | |||||
| mahakamani au kutoifikisha | matakwa | yake. | Uamuzi | wa | | |||||
| au hata kuifuta kabisa bila | kuendelea au kufuta kesi uwe ni | | ||||||||
| idhini ya hakimu. | | | wa mahakama. | | | | |
ANGALIZO: MAONI HAYA YAMEKUSANYWA KWA LENGO LA KUFANIKISHA MCHAKATO WA KUANDIKWA KATIBA MPYA.
HIVYO BASI MUISLAMU YEYOTE ANAWEZA KUENDELEA KUCHANGIA KWA KUZIDISHA VIPENGELE AMBAVYO VIMESAHAULIWA AU KUPUNGUZWA NA VIMEKOSEWA KWANI UKAMILIFU NI WA ALLAH [SUBHAANAHU WA TA'ALA]
WAKUSANYAJI NA WARATIBU WA HOJA NA MAONI
1. Sheikh Salim A. Barahiyaan [LLB Shariah, LLM Shariah & Law]
2. Dr. Abu-Malik Juma [PhD Economics]
TAKWIMU
IDADI YA MIKOA ZILIPOFANYIKA SEMINA SHIRIKISHI
TANZANIA BARA | 17 |
ZANZIBAR | 1 |
| |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments