[wanabidii] HOJA NA MAONI YETU WAISLAMU JUU YA KATIBA MPYA

Thursday, February 13, 2014

1 | P a g e

 

 

HOJA NA MAONI YETU WAISLAMU JUU YA KATIBA MPYA YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA

 

KUPITIA SEMINA SHIRIKISHI ZA MTANDAO WA

MISIKITI TANZANIA

 

SEHEMU YA I: UHUSIANO WA SERIKALI, DINI NA MASHIRIKA YA KIDINI

NA.

 

 

HOJA

 

 

 

 

MAONI

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

 

iliyopo

Katiba

mpya  itambuwe  kuwepo

 

 

1

haitambui

kuwepo

kwa

kwa

Mwenyezi   Mungu

na

 

 

Mwenyezi Mungu na uhalali

Mamlaka yake juu ya Wanaadamu

 

 

 

wa

mamlaka

ya

Mwenyezi

(kwa mnasaba huu, wananchi wa

 

 

 

Mungu

 

 

 

 

 

Tanzania)

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

 

iliyopo

Katiba mpya iweke wazi kutambua

 

 

2

haitambui

uhalali

wa Sheria

kwake   uhalali   wa   sheria   za

 

 

za

Mwenyezi

Mungu.

Hii

Mwenyezi Mungu na kuziheshimu.

 

 

 

inajidhihirisha

kwa kauli

ya

Maana  ya  serikali  kutokuwa  na

 

 

 

serikali kutokuwa na dini.

 

dini iainishwe na kuwekwa wazi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kikatiba.

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

 

iliyopo

Katiba

mpya  isimlazimishe

mtu

 

 

3

inamlazimisha

mtu

kufuata

kufuata taratibu au sheria ambazo

 

 

sheria   zote   hata   kama

inakwenda kinyume na imani yake

 

 

 

zinakwenda

kinyume

na

na hivyo kupelekea kuvunja sheria

 

 

 

imani ya dini ya raia husika.

za dini yake.

 

 

 

 

Kwamba Katiba iliyopo haitoi

Katiba itoe tafsiri yakinifu ya ibada

 

 

 

tafsiri yakinifu juu ya maana

na dini kwa mujibu wa tafsiri ya

 

 

4

ya ibada na dini. Tafsiri sahihi

dini husika.

 

 

 

ya maneno dini na ibada ni

 

 

 

 

 

 

muhimu ili kuzuia bughudha

 

 

 

 

 

 

kwa wananchi wanapokuwa

 

 

 

 

 

 

katika  matendo  ya  dini  na

 

 

 

 

 

 

ibada.

 

 

 

 

 

 

 

 

 


2 | P a g e

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iruhusu kuchanganya

 

5

inatenganisha

mamlaka

ya

mamlaka ya nchi na ya dini. Mfano

 

 

nchi na mamlaka ya dini. Huu

uwepo  wa  Mahakama  ya  Kadhi

 

 

ni mfumo Kristo.

 

 

 

itakayoendeshwa

kwa

hazina

ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

serikali.

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya itoe tafsiri sahihi ya

 

6

imetoa tafsiri potofu ya neno

neno  HALALI  kwa  mujibu  wa

 

HALALI.  Kwa

mfano

neno

imani ya dini na tafsiri hiyo iwe ni

 

 

rizki

halali

linajumuisha

yenye

kukubalika  kiutendaji

na

 

 

mathalani

 

hata

 

rizki

katika

mahusiano

baina

ya

 

 

ipatikanayo

 

kwa

kuuza

mwananchi  wa  dini  husika  na

 

 

pombe

na

kucheza

bahati

wananchi  wengine  nje  ya  dini

 

 

nasibu ni halali.

 

 

 

 

husika.

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba  mpya  itambue  na  kuipa

 

7

haiilazimishi

 

 

serikali

heshima siku ya Ijumaa kuwa ni

 

 

kuitambua

 

siku  ya

Ijumaa

siku   maalum   ya   ibada   kwa

 

 

kama siku rasmi ya ibada kwa

Waislamu. Hivyo shughuli zote za

 

 

Waislamu.

Hii

inasababisha

serikali

zisimamishwe

wakati

wa

 

 

usumbufu

 

mkubwa

 

kwa

kutekelezwa ibada hiyo.

 

 

 

 

Waislamu

kutekeleza

 

ibada

 

 

 

 

 

 

 

hii hususan

wafanyakazi

na

 

 

 

 

 

 

 

wanafunzi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iruhusu na itambue

 

 

haitambui

 

kuwepo

 

kwa

uwepo  wa  mahakama  za  kadhi

 

8

Mahakama

ya

Kadhi.

 

Hii

zitazoendeshwa chini ya usimamizi

 

imepelekea

 

Waislamu

wa Kadhi Mkuu na Naibu Kadhi

 

 

kutohukumiana kwa sheria za

Mkuu

wataokao

chaguliwa

na

 

 

Kiislamu ambayo ni sehemu

Waislamu kwa kuzingatia sifa za

 

 

ya ibada kwao na vile vile

kielimu katika fani ya sheria ya

 

 

kukosekana

kwa  msimamizi

Kiislamu na kutambuliwa na Rais

 

 

wa  haki

inapotokea

mzozo

wa Jamhuri ya Muungano.

 

 

 

baina ya Waislamu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba Kutokana na Katiba

Katiba mpya itambue uwepo wa

 

 

iliyopo

 

 

kutokutambua

tume  ya  ushauri  wa  uteuzi  wa

 

 

mahakama

ya

kadhi

ajira

makadhi na ajira ya makadhi kwa

 

 

rasmi za makadhi hazipo.

 

mahakama  za

kadhi

Tanzania

 


3 | P a g e

 

 

 

 

 

 

 

ambayo kikatiba itaitwa Tume ya

 

 

 

 

 

 

Utumishi  ya  Mahakama  ya  Kadhi.

 

9

 

 

 

 

Tume

hii

itachaguliwa

na

 

 

 

 

 

 

Waislamu. Wajumbe wa Tume hiyo

 

 

 

 

 

 

watakuwa wafuatao:

 

 

 

 

 

 

 

 

1. Kadhi Mkuu ambaye atakuwa

 

 

 

 

 

 

mwenyekiti

kutoka   bara

au

 

 

 

 

 

 

visiwani;

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2.  Naibu  Kadhi  Mkuu  ambaye

 

 

 

 

 

 

atakuwa naibu Mwenyekiti kutoka

 

 

 

 

 

 

bara au Visiwani;

 

 

 

 

 

 

 

 

3. Kadhi mmoja wa Mahakama ya

 

 

 

 

 

 

Kadhi ya Rufaa atakayechaguliwa

 

 

 

 

 

 

na Waislamu;

 

 

 

 

 

 

 

 

 

4.   Wajumbe

watatu

kutoka

 

 

 

 

 

 

mahakama ya kadhi.

 

 

 

 

Kwamba suala la kugharimia

Katiba

mpya

iilazimishe

serikali

 

 

uendeshaji wa mahakama za

kugharimia gharama za kuendesha

 

10

kadhi linapaswa liwe jukumu

mahakama za kadhi na gharama za

 

la serikali kupitia mfuko wa

watumishi  wote  kutoka

kwenye

 

 

hazina  ya  serikali.  Hii  kwa

mfuko wa hazina ya serikali.

 

 

 

sababu Waislamu ni sehemu

 

 

 

 

 

 

 

ya walipa kodi. Kama walivyo

 

 

 

 

 

 

 

raia   wengine,

wanastahili

 

 

 

 

 

 

 

kufaidika  kutokana  na

kodi

 

 

 

 

 

 

 

wanazolipa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba Mahakama ya Kadhi

Katiba mpya itambuwe uwepo wa

 

11

haipaswi

kuingiliwa

na

Mahakama ya Rufaa ya Kiislamu.

 

mahakama

ya

aina  yoyote

 

 

 

 

 

 

 

isiyohukumu kwa sheria ya

 

 

 

 

 

 

 

Kiislamu.

Kwamba

upo

 

 

 

 

 

 

 

umuhimu wa kuundwa kwa

 

 

 

 

 

 

 

Mahakama

ya

Rufaa

ili

 

 

 

 

 

 

 

kusikiliza kesi za rufaa kutoka

 

 

 

 

 

 

 

kwenye mahakama ya kadhi.

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Waislamu

kwa

Katiba

mpya

itambue

haki

ya

 


4 | P a g e

 

 

 

sheria

zilizopo

wanakwazika

Waislamu

kutekeleza

nakufuata

 

 

katika

kutekeleza

dini

yao

sheria ya Kiislamu katika ukamilifu

 

 

kikamilifu. Inawawia vigumu

wake.

Katika

sehemu

zenye

 

12

kutekeleza

 

sheria

kwa

Waislamu

 

wengi

sheria

 

ya

 

mnasaba wa dini yao. Kufuata

Kiislamu ifuatwe katika ukamilifu

 

 

sheria za Kiislamu ni sehemu

wake.

Kila

Muislamu   katika

 

 

ya dini na ibada ya lazima

maeneo

 

 

haya

 

atalazimika

 

 

kwa Muislamu, haki ambayo

kuhukumiwa

kwa

sheria

za

 

 

katiba iliyopo imetoa uhuru.

Kiislamu.

Katika

maeneo

yenye

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Waislamu wachache mahakama za

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kadhi

ziwahukumu

Waislamu

 

 

 

 

 

 

 

 

 

katika  sheria  zote  za  Kiislamu

 

 

 

 

 

 

 

 

 

isipokuwa za jinai.

 

 

 

 

 

 

Kwamba Katiba iliyopo haitoi

Katiba  mpya  iweke  uthibiti  wa

 

 

muongozo juu ya ushirikiano

matumizi ya fedha za umma kwa

 

 

baina ya serikali na dini au

utaratibu

wa

upendeleo

 

wa

 

 

madhehebu

ya

dini,

hali

madhehebu  ya  dini  yoyote  ama

 

 

iliyopelekea

kuwepo

kwa

kinyemela   au   kwa   njia   ya

 

13

malalamiko

ya

kuwepo

kwa

urasimishaji

kupitia  mikataba

au

 

upendeleo

 

 

 

maalum

makubaliano.

 

 

 

 

 

 

unaoneemesha

 

Ukristo

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

(hususan

Ukatoliki) hususan

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

katika sekta ya elimu na afya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kwa kutumia hazina ya taifa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Mathalani

 

kwa

kupitia

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mkataba

wa

ufahamiano

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

[MoU]  baina  ya  serikali  na

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kanisa

 

serikali

hutenga

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mamilioni ya fedha za umma

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kila

mwaka

 

kunufaisha

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mipango ya afya na elimu ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kanisa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 


5 | P a g e

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU YA II: MASUALA YA MUUNGANO NA SERIKALI YA MUUNGANO

NA.

HOJA

 

 

 

 

 

MAONI

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya itambue uhalali wa

 

 

 

inatambua uwepo wa serikali

serikali tatu: Serikali ya Zanzibar,

 

 

 

mbili

katika

Jamhuri

ya

Serikali ya Tanganyika na Serikali

 

 

14

Muungano,

 

jambo

ambalo

ya Muungano.

 

 

limesababisha utata na kero

 

 

 

 

kubwa ya muungano hususan

 

 

 

 

kwa upande wa serikali ya

 

 

 

 

Zanzibar.  Yapo  malalamiko

 

 

 

 

kwa  upande

wa

Zanzibar

 

 

 

 

kuwa wameporwa madaraka

 

 

 

 

ya  kiinchi

(sovereignity)

na

 

 

 

 

serikali

ya

muungano.

Hii

 

 

 

 

imepelekea mpaka baadhi yao

 

 

 

 

kudai muungano uvunjwe.

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba   mpya   iweke   utaratibu

 


6 | P a g e

 

 

 

inaainisha

tu

maeneo

ya

utaofanya

 

 

 

masuala

 

15

muungano ambao

chimbuko

yatakayokubalika

kuwa

ya

 

 

lake ni makubaliano baina ya

muungano yapitishwe kwa kura ya

 

 

viongozi

 

wa

 

 

iliyokuwa

maoni

(referandum)

kwa

 

 

Tanganyika na Zanzibar bila

kuzingatia uwiano wa sehemu hizi

 

 

ridhaa ya wananchi wa pande

za muungano. Kila upande ukubali

 

 

mbili hizi. Hali hii imepelekea

masuala hayo kwa asilimia 75 au

 

 

malalamiko

 

 

 

kwamba

zaidi  ya  wananchi  wake  ndipo

 

 

wananchi hawakuhusishwa.

yaingizwe

katika

orodha

ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

maeneo ya Muungano

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

 

iliyopo

iko

Katiba   mpya

iweke

utaratibu

 

 

kimya  juu  ya  mgawo  wa

utakaowezesha cheo cha rais wa

 

 

madaraka  ya  rais  na  naibu

jamhuri  ya  muungano  kiwe  cha

 

16

rais,

mawaziri,

 

manaibu

kupokezana baina ya pande mbili

 

waziri kutoka pande mbili za

za muungano yaani Tanganyika na

 

 

muungano.

Hii

 

imepelekea

Zanzibar. Vyeo vya mawaziri na

 

 

Wazanzibari

 

 

kulalamika

manaibu

mawaziri,

makatibu

 

 

kwamba huenda muda mrefu

wakuu  wa  wizara  na  makatibu

 

 

rais wa jamhuri ya muungano

wakuu wasaidizi katika serikali ya

 

 

akatoka bara tu.

 

 

 

 

muungano

vitolewe

kwa uwiano

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

uliosawa. Mathalani

waziri akiwa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mtanganyika

naibu

 

wake

awe

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mzanzibari.

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke wazi kwamba

 

 

haikuweka

wazi

mgao

wa

mali ya asili kama vile madini, gesi

 

17

maliasili baina ya pande mbili

na mafuta n.k. havitakuwa katika

 

za muungano. Hii imepelekea

masuala

ya

muungano.

Kila

 

 

kuwe

na  mvutano

kwamba

upande mmoja wa muungano uwe

 

 

iwapo

mafuta

yatapatikana

unamiliki mali ya asili yake.

 

 

 

yawe ni ya muungano au la.

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

 

iliyopo

iko

Katiba  mpya  iweke  utaratibu  za

 

 

kimya kuhusu mahusiano ya

kuziwezesha pande zote mbili za

 

 

serikali

ya

Zanzibar  katika

muungano

 

(Tanganyika

na

 

 

medani

za

kimataifa

kwa

Zanzibar) kuwa na mahusiano na

 

 

maeneo yasiyo ya muungano.

mashirikiano na serikali za nje na

 

 

Hii imepelekea kuwepo kwa

taasisi za kimataifa bila pingamizi

 


7 | P a g e

 

 

18

malalamiko

upande

wa

kutoka

kwenye

serikali

ya

 

 

Zanzibari

 

kuwa

hawanufaiki

muungano.

 

 

 

 

 

 

na

wanabanwa

 

kuwa

na

 

 

 

 

 

 

 

 

mahusiano na nchi na taasisi

 

 

 

 

 

 

 

 

nyingine

 

 

za

 

kimataifa,

 

 

 

 

 

 

 

 

mathalani

 

kujiunga  na

OIC

 

 

 

 

 

 

 

 

ambayo ingesaidia utekelezaji

 

 

 

 

 

 

 

 

miradi ya mambo yasiyokuwa

 

 

 

 

 

 

 

 

ya muungano.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya itambue uwepo wa

 

 

haitambui

 

 

kuwepo

kwa

Mahakama Kuu ya Katiba ambayo

 

 

Mahakama Kuu ya Katiba. Hii

itakuwa na uwezo na nguvu za

 

 

imepelekea

kukosekana

kwa

Kisheria

za

kutafsiri  vipengere

 

19

suluhusho

 

la

utata

mbalimbali

vya  Katiba

vyenye

 

unapojitokeza  wa

masuala

utata  na  pia  kubatilisha  sheria

 

 

mbali mbali ya muungano na

yoyote

itakayotungwa

ambayo

 

 

mengineyo. Mathalani, utata

inapingana na Katiba.

 

 

 

 

 

wa Zanzibar kama nchi kamili

 

 

 

 

 

 

 

 

au

vinginevyo

unashindwa

 

 

 

 

 

 

 

 

kupewa

 

 

ufumbuzi

wa

 

 

 

 

 

 

 

 

kisheria.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

 

haitambui

Katiba mpya itambue uwepo wa

 

20

kuwepo kwa Mahakama Kuu

Mahakama  Kuu  ya  Rufaa  ya

 

ya Rufaa

ya Katiba ambayo

Katiba.

 

 

 

 

 

 

 

itahusika  na  kesi  za  rufaa

 

 

 

 

 

 

 

 

kutoka  Mahakama  Kuu  ya

 

 

 

 

 

 

 

 

Katiba.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

iko

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

 

kimya juu ya nafasi ya Spika

kupokezana  nafasi  ya  spika  na

 

21

na Naibu Spika wa bunge la

naibu spika baina ya sehemu mbili

 

Jamhuri

ya

Muungano

ya

za muungano. Yaani spika akiwa

 

 

Tanzania.

 

Tangu

kuasisiwa

mtanganyika

naibu

wake

awe

 

 

kwa

muungano

nafasi

hizo

mzanzibari.

Nafasi

 

hizo

 

 

zimekuwa

 

zikihodhiwa

na

zibadilishwe

kila

baada

ya

 

 

watanganyika. Hii imepelekea

uchaguzi   mkuu   wa   rais   na

 

 

kuwa ni moja ya kero kubwa

wabunge.

 

 

 

 

 


8 | P a g e

 

 

 

za muungano.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

22

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya itambue kuwepo kwa

 

 

inamtambua

Rais,

Makamu

mawaziri wakuu kwa kila upande

 

 

wa  Rais  na  Waziri  Mkuu

wa  muungano  kama  wakuu  wa

 

 

kama  viongozi  wa  juu  wa

shughuli za serikali zao. Kisiwepo

 

 

Jamhuri

ya

Muungano

ya

cheo cha waziri mkuu wa serikali

 

 

Tanzania. Waziri mkuu kwa

ya

muungano.

 

Shughuli

zake

 

 

utaratibu

wa

sasa

hana

zifanywe na makamu wa rais wa

 

 

shughuli

 

na

 

mamlaka

serikali

ya

muungano,

ambaye

 

 

yakinifu upande wa Zanzibar.

ndiye msaidizi mkuu wa rais katika

 

 

Cheo hiki si muafaka kwa

serikali ya muungano

 

 

 

 

hivyo

kisiwe

 

katika

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

muungano.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

iko

Katiba

iweke

 

utaratibu

wa

 

23

kimya juu ya uwezekano wa

kuvunjika kwa

muungano iwapo

 

kuvunjika muungano.

 

 

itatokea dharura ya jambo hilo na

 

 

 

 

 

 

 

 

 

ianishe

 

sababu

zinazoweza

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kupelekea

kuvunjika

 

kwa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

muungano.

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katika kudumisha uhuru wa maoni

 

 

hairuhusu  chama

cha

siasa

chama  chochote  hata  kama  kina

 

 

chenye

lengo

la

kuvunja

malengo ya kuvunjwa muungano

 

 

muungano na chenye lengo la

kiandikishwe endapo kinaona kuna

 

24

kutumia

 

nguvu

 

au

maslahi kwa wananchi juu ya hilo

 

mapambano kufikia malengo

na

kwamba

kuvunjika

kwa

 

 

ya siasa.

 

 

 

 

 

 

muungano ndiyo njia iliyobaki ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kuondoa

 

dhuluma.

Chama

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kiruhusiwe kutumia nguvu kufikia

 

 

 

 

 

 

 

 

 

malengo ya kisiasa endapo njia ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

amani

 

na

 

mazungumzo

 

 

 

 

 

 

 

 

 

imeshindikana kuondoa dhuluma.

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iruhusu kuwepo kwa

 

25

hairuhusu kusajili chama cha

chama cha namna hiyo. Hii itatoa

 

siasa  chenye

wafuasi

katika

uhuru kamili kwa raia wa pande

 

 

upande

mmoja

tu

 

wa

mbili hizi kutoa maoni na kutetea

 

 

muungano

au

 

kuendesha

maslahi

na

maendeleo

yao

hata

 


9 | P a g e

 

 

 

shughuli zake katika upande

kama ni wachache [bila kujali idadi

 

mmoja tu wa muungano.

yao]

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU YA III: HADHI NA MADARAKA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA

NA.

 

 

HOJA

 

 

 

MAONI

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba    mpya

iruhusu

rais

 

 

26

inampa

rais

hadhi

na

kufunguliwa

mashtaka

kwa

kosa

 

 

mamlaka makubwa kiasi cha

lolote  akiwa  ndani  au  nje  ya

 

 

 

kuwa

juu

ya

sheria

madaraka.

Hii

itasaidia  katika

 

 

 

(asiyeweza kushitakiwa) kwa

uwajibikaji  wa  rais  na  kuzuia

 

 

 

kosa la aina yoyote akiwepo

ufisadi na ubadhirifu wa mali za

 

 

 

madarakani au hata akiwa nje

wananchi kwa kutumia madaraka

 

 

 

ya madaraka

 

 

 

aliyopewa na wananchi.

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya isimpe Rais madaraka

 

 

27

imempa mamlaka Rais kutoa

ya kutoa msamaha kwa kuwa hili

 

 

 

misamaha kwa watenda kosa

linapelekea kuingilia maamuzi ya

 

 

 

lolote.

 

 

 

 

 

mahakama.

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Serikali  haizingatii

Katiba  mpya  iweke  masharti  ya

 

 

 

uwiano

wa

kidini  katika

kuzingatia uwiano wa kidini kwa

 

 

28

uteuzi

 

wa

 

nyadhifa

wateuzi katika uteuzi wa nyadhifa

 

 

mbalimbali

serikalini

na

mbalimbali (viongozi na watendaji

 

 

 

vyombo

vyake

(viongozi

na

waandamizi

serikalini)

kuondoa

 

 

 

watendaji

waandamizi).

Hii

hisia  za  kuwepo  upendeleo  wa

 

 

 

inapelekea

kuwepo

hisia

za

kidini.

 

 

 

 

 

 

 

upendeleo na udini.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba  mpya  iweke  wazi  kuwa

 

 

 

inampa

 

madaraka

rais

baraza la mawaziri halitatokana na

 

 

 

kuchagua mawaziri kutokana

wabunge

waliochaguliwa

na

 

 

29

na wabunge waliochaguliwa

wananchi, Rais achague mawaziri

 

 

na wananchi. Hii imepelekea

kama watendaji wa serikali nje ya

 


10 | P a g e

 

 

 

wabunge

 

kushughulikia

bunge. Mawaziri waingie bungeni

 

 

maslahi ya majimbo yao zaidi

kama wawakilishi wa serikali na

 

 

kuliko maslahi ya kitaifa.

 

siyo wawakilishi wa majimbo na

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

serikali kama ilivyo sasa.

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

 

iliyopo

Katiba mpya isimpe madaraka rais,

 

30

inampa

madaraka

 

makubwa

mkuu wa Mkoa na wa wilaya ya

 

rais kiasi cha kuwaweka watu

kumuweka

mtu  kizuizini

bila

 

 

kizuizini

bila

kufikishwa

kufikishwa  mahakamani.

Katiba

 

 

mahakamani. Huu ni uvunjifu

mpya  isimpe  rais  mamlaka  ya

 

 

wa haki za binaadamu.

 

 

kimahakama.

 

 

 

 

 

Sheria imempa madaraka rais

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

 

kuteua

watendaji

wa

Taasisi

kuteuliwa

watendaji

 

wa

 

31

ya

Kuzuia

na

 

Kuondoa

TAKUKURU  na  Bunge  na  bila

 

Rushwa.

Hii

imepelekea

kuingiliwa

utendaji   wake

na

 

 

Taasisi

 

hiyo

kushindwa

Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai.

 

 

kutekeleza

majukumu  yake

 

 

 

 

 

 

kwa

uhuru

na

kuingiliwa

 

 

 

 

 

 

utendaji wake na Mkurugenzi

 

 

 

 

 

 

wa Mashitaka ya Jinai.

 

 

 

 

 

 

 

 

Katiba

 

iliyopo

 

inampa

Katiba mpya itoe madaraka kwa

 

 

madaraka

rais kuteua

Tume

bunge badala ya rais kuteua Tume

 

 

ya  Uchaguzi  ya  Taifa.  Hii

ya Uchaguzi ya Taifa. Katiba mpya

 

32

imepelekea

kuwepo

 

kwa

vilevile itoe fursa kwa raia kuhoji

 

malalamiko

ya  kutokuwepo

matokeo  ya  uchaguzi  ya  rais

 

 

tume

 

huru

ya

 

uchaguzi.

mahakamani.

Mahakama

na

sio

 

 

Kwamba kwa ajili hii matokeo

tume  ya  uchaguzi  kiwe  ndicho

 

 

ya  uchaguzi  wa  rais  pindi

chombo cha kuthibitisha uhalali wa

 

 

yanapotangazwa na tume ya

matokeo ya uchaguzi wa rais.

 

 

 

uchaguzi hayawezi kuhojiwa

 

 

 

 

 

 

mahakamani.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

 

iliyopo

Katiba mpya isimpe mamlaka rais

 

33

inampa

madaraka

rais

ya

kulivunja bunge.

 

 

 

kulivunja

bunge.

Hii

ni

 

 

 

 

 

 

kuwanyima haki wananchi ya

 

 

 

 

 

 

kuendelea kuwa na viongozi

 

 

 

 

 

 

waliowachagua  kwa

ridhaa

 

 

 

 

 


11 | P a g e

 

 

 

yao.

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

34

inampa  madaraka

rais  ya

uteuzi wa nyadhifa hizo uwe kwa

 

kuteua   Jaji   Mkuu,   Jaji

kushauriana  Rais  na  Tume  ya

 

 

Kiongozi, Jaji wa Mahakama

Utumishi   wa   Mahakama   na

 

 

Kuu na Jaji wa Mahakama ya

kuidhinishwa uteuzi huo na bunge.

 

 

Rufaa bila ya idhini ya bunge.

 

 

 

Hii imepelekea kuwepo kwa

 

 

 

malalamiko

ya

mahakama

 

 

 

hizo  kutokuwa

huru  katika

 

 

 

kutekeleza majukumu yake.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU YA IV: UWAKILISHI WA RAIA KATIKA MIHIMILI MIKUU YA DOLA

NA.

 

HOJA

 

 

 

 

 

MAONI

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

 

 

haitambui

umuhimu

wa

kuwepo uwakilishi wa dini katika

 

 

 

kuwepo wawakilishi wa dini

vyombo  hivyo  vilivyotajwa  kwa

 

35

 

katika  vyombo

vifuatavyo:

ajili ya kulinda maadili na maslahi

 

 

Bunge, Baraza la Wawakilishi,

ya dini husika.

 

 

 

na   Baraza

la

 

Madiwani,

 

 

 

 

Mabaraza

ya

Usalama.

Hii

 

 

 

 

inapelekea

 

 

 

kufanywa

 

 

 

 

maamuzi ambayo yako nje na

 

 

 

 

maadili  na  sheria  za  dini

 

 

 

 

husika.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

36

 

inaruhusu

mtu

kujitangaza

wananchi kupendekeza wagombea

 

 

kufaa

kwake

 

katika

kupitia vyama vya siasa au vikundi

 


12 | P a g e

 

 

 

kugombea uongozi na hivyo

maalum  (wagombea  binafsi)  ili

 

 

kupelekea

 

mazingira

ya

kupigiwa

kura.

Wananchi

 

 

rushwa

na

uongo.

Hii

wapendekeze

na

wawanadi

 

 

imepelekea

 

 

wanasiasa

wapigiwa kura.

 

 

 

 

 

kujipachika

sifa

na

uwezo

 

 

 

 

 

 

 

 

wasio nao.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba  mpya  itoe  nafasi  kwa

 

 

inamzuia

 

raia

yeyote

mgombea binafsi kugombea katika

 

 

kugombea

 

uongozi

katika

nafsi zote za uongozi kwa sharti ya

 

37

nafasi yoyote mpaka awe ni

kupendekezwa na kundi la watu

 

mwanachama wa chama cha

raia

wa

Tanzania  wasiopungua

 

 

siasa

kilichosajiliwa.

Hii

kumi na moja.

 

 

 

 

 

inawanyima

 

raia

wasio

 

 

 

 

 

 

 

 

wanachama

wa

vyama

vya

 

 

 

 

 

 

 

 

siasa kushiriki katika shughuli

 

 

 

 

 

 

 

 

za  uongozi  na  bila  shaka

 

 

 

 

 

 

 

 

kuzuia

wenye

sifa

za

 

 

 

 

 

 

 

 

kuongoza

taifa

 

kwa

kigezo

 

 

 

 

 

 

 

 

cha

kutokuwa

mwanachama

 

 

 

 

 

 

 

 

wa chama cha siasa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iruhusu uwepo wa

 

38

inapiga marufuku kuwepo wa

vyama vya kisiasa vya kidini kama

 

 

vyama vya kisiasa vya kidini.

ilivyo

katika

nchi

nyingine

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mathalani Ujerumani.

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba

mpya

iruhusu

 

39

inapiga

 

 

 

marufuku

kuandikishwa  chama

cha  kisiasa

 

kuandikishwa

 

chama

cha

chenye  lengo  la  kupigania  haki,

 

 

siasa

chenye

malengo

ya

maendeleo na maslahi ya imani ya

 

 

kutetea maslahi na maendeleo

dini husika. Katiba itambue uhalali

 

 

ya  dini.  Hii  inatoa  tafsiri

wa  raia  kupigania  maslahi  na

 

 

potofu  ya

dini

 

kutorandana

maendeleo ya dini yake.

 

 

 

na siasa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

40

inatambua

mgawanyo

wa

kuigawa

nchi

katika  majimbo

 

 

nchi katika mikoa na wilaya

yatayoongozwa

na

serikali

za

 

 

n.k.

kiutawala.

 

Wakuu

wa

majimbo

zitakazochaguliwa

na

 


13 | P a g e

 

 

 

mikoa na wakuu wa wilaya

wananchi.

Mkuu

wa

jimbo

 

 

wanateuliwa na rais.

 

 

achaguliwe na wananchi.

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba

mpya

ifute

uwakilishi

 

 

inaruhusu

kuwepo

kwa

viti

kupitia viti maalum katika bunge

 

 

maalum

vya

wanawake

kwa   misingi   ya   jinsia.   Mtu

 

 

bungeni kwa misingi ya jinsia.

achaguliwe kwa sifa za kiutendaji

 

41

Yamekuwepo malalamiko ya

na siyo jinsia yake.

 

 

 

kwamba

 

baadhi

ya

 

 

 

 

 

 

 

 

wanaoteuliwa kwa kigezo cha

 

 

 

 

 

 

 

 

jinsia hawana sifa na uwezo

 

 

 

 

 

 

 

 

wa

kuongoza

na

kwamba

 

 

 

 

 

 

 

 

watu  wa  jinsia  ya  kiume

 

 

 

 

 

 

 

 

hawapewi

 

upendeleo

na

 

 

 

 

 

 

 

 

kwamba ipo hatari ya kuzuka

 

 

 

 

 

 

 

 

mfumo

jike

(kama  Kenya

 

 

 

 

 

 

 

 

inakoelekea).

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Yapo

malalamiko

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

 

dhidi

 

ya

 

wabunge

kuwawezesha

wapiga

kura

 

 

kutowajibika

katika

majimbo

kuwadhibiti

na

kuwawajibisha

 

42

yao

na

hakuna

utaratibu

wabunge wao ambao hawatekelezi

 

unaowawezesha wapiga kura

wajibu wao ipasavyo. Katiba mpya

 

 

kuwaondoa

wabunge

hao.

iwawezeshe

 

wapiga

kura

 

 

Kwamba

wabunge

hawana

kuwaondoa

 

 

wabunge

 

 

makazi

 

katika

sehemu

wasiotekeleza ipasavyo wajibu wao

 

 

wanazoziwakilisha.

 

 

bila kusubiri kipindi cha uchaguzi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mpya. Katiba iweke masharti ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mbunge  kuwa  na  makazi katika

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

jimbo analoliwakilisha.

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

 

inatambua

 

kuwepo

kwa

kujaza

nafasi

ya

mbunge

 

43

uchaguzi mdogo wa mbunge

inapokuwa

wazi.

Nafasi

ya

 

pindi

zinapotokea

sababu

mbunge

ijazwe

mathalani

kwa

 

 

mbalimbali kama vile kufariki

utaratibu  wa  chama  husika  au

 

 

kwa

 

mbunge

n.k.

Hii

kikundi

 

husika

kumteuwa

 

 

imepelekea taifa kugharimika

mwanachama  au  mtu  mwingine

 

 

sana kwa ajili ya chaguzi hizi.

kurithi

nafasi

ya

mbunge

 


14 | P a g e

 

 

 

 

 

 

aliyeondoka.

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke utaratibu wa

 

44

haitambui uwepo wa serikali

kuunda serikali ya mseto.

 

ya  mseto.

Hii  inapelekea

 

 

 

serikali

kuundwa

kwa

 

 

 

uwakilishi wa watu wachache

 

 

 

na  hivyo  kukosa  sifa  ya

 

 

 

serikali ya umoja wa kitaifa.

 

 

 

 

SEHEMU V: HIFADHI NA MATUMIZI YA ARDHI NA RASILIMALI ZA TAIFA

NA.

HOJA

 

 

 

 

 

MAONI

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya iweke bayana haki ya

 

 

 

imempa haki mtu ya kumiliki

mtu kumiliki na kutumia mali yake

 

 

45

na

kutumia

 

mali

zake

kwa kuzingatia sheria ya imani ya

 

 

atakavyo bila kuchunga sheria

dini yake.

 

 

 

na imani ya dini yake au za

 

 

 

 

watu

wengine.

 

(Mathalani

 

 

 

 

mtu

kurithithisha

mali

yake

 

 

 

 

atakavyo  yeye

kinyume  na

 

 

 

 

sheria ya dini yake)

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba iitake serikali kufanya sensa

 

 

46

haizungumzii

umuhimu  wa

baada ya kila miaka mitano kujua

 

 

sensa

katika

kujua takwimu

idadi ya watu, hali zao na idadi ya

 

 

 

za  watu.

Hii

imepelekea

wafuasi wa dini mbalimbali kwa

 

 

 

kutolewa

 

 

 

takwimu

ajili ya maendeleo ya kijamii na

 

 

 

zisizokuwa

rasmi

na

zenye

kuweka uwiano katika kutoa haki

 

 

 

malengo ya upotoshaji.

 

sawa na huduma kwa raia wake.

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya isiruhusu kwa hali

 

 

47

imetoa  mwanya

kwa

ardhi

yoyote kuwekwa kwa vituo vya

 

 

yetu kutumika kwa malengo

kigeni  vya  kijeshi  na  upelelezi

 

 

 

ya

ukoloni

mamboleo.

katika Jamhuri ya Muungano wa

 

 

 

Mathalan

haitoi

pingamizi

Tanzania.

 

 

 

kwa

mataifa

ya

nje kuweka

 

 


15 | P a g e

 

 

 

vituo vya kijeshi na upelelezi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

katika ardhi ya Tanzania.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

 

iliyopo

Katiba mpya iweke wazi kwamba

 

 

imeimilikisha

ardhi

kwa

ardhi ni mali ya raia (wananchi) na

 

 

serikali yaani kikatiba ardhi ni

serikali ni wakala tu wa raia katika

 

 

mali

 

ya

 

 

serikali.

Hii

kugawa ardhi kwa uadilifu na kwa

 

48

imepelekea

 

serikali

kuwa na

ridhaa ya raia. Umiliki wa ardhi

 

mamlaka

 

ya

kumilikisha

uweze

kuondolewa

kwa

mmiliki

 

 

ardhi kwa yeyote bila ridhaa

iwapo

atashindwa

kuiendeleza

 

 

ya wananchi, hata kama ikiwa

ardhi kwa miaka mitatu mfululizo.

 

 

wanaomilikishwa

ni

wageni.

Raia

aweze

kuuza

ardhi

 

 

Imerahisisha

pia

uporwaji

aliyomilikishwa

 

kwa

raia

 

 

unaofanywa

 

na

 

wageni

mwingine au kukodisha kwa asiye

 

 

(mataifa

 

 

 

ya

 

 

kigeni

raia   kwa

mkataba

unaoweza

 

 

wakishirikiana

na

 

baadhi ya

kuhuishwa  kila  baada  ya  miaka

 

 

viongozi)

 

wa

 

 

maliasili

mitatu.

Rais

aweze

kusitisha

 

 

zilizoko

chini

ya

 

ardhi

umiliki  wa  ardhi  wa  mtu  au

 

 

(madini)

 

na

 

juu

 

yake

kikundi  kidogo  cha  watu  kwa

 

 

(wanyama pori, misitu, mazao

manufaa ya waliyo wengi maadam

 

 

ya baharini n.k.)

 

 

 

 

mmliki

au

wamiliki

watalipwa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

fidia inayolingana na thamani ya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

ardhi

wanayopoteza

umiliki  na

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

vilivyomo kwa wakati huo

 

 

 

Kwamba

 

Katiba

 

iliyopo

Katiba mpya itoe maelekezo kwa

 

 

haitambui

 

umilikishaji

wa

sheria  za  mipango  miji  kulenga

 

49

ardhi kwa uwiano wa kidini.

ugawaji wa ardhi kwa kuainisha

 

Hii

imepelekea

 

mathalani

maeneo ya dini kwa mujibu wa

 

 

upimaji

wa

maeneo

mapya

uwiano  wa  kidini  katika  eneo

 

 

kupitishwa

 

bila

 

kuainisha

husika.

 

 

 

 

 

 

 

 

maeneo

maalum

 

kwa

dini

 

 

 

 

 

 

 

 

 

husika

na

 

hivyo

 

kupelekea

 

 

 

 

 

 

 

 

 

mivutano

isiyo

ya

lazima.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Zipo hisia za umilikishaji wa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

ardhi

kwa

upendeleo

wa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

kidini.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Sheria

 

za

nchi

Katiba

impe

mamlaka

huru

 


16 | P a g e

 

 

 

hazimpi  madaraka

Mkaguzi

Mkaguzi

Mkuu   wa

Serikali

 

50

Mkuu

wa

Serikali

kumfungulia

mashitaka

yeyote

 

 

kumfungulia

mashitaka

anayetuhumiwa kwa ubadhirifu au

 

 

mtumishi

wa

serikali

ufisadi wa mali ya umma.

 

 

 

anayetuhumiwa

kufanya

 

 

 

 

 

 

ubadhirifu

na ufisadi katika

 

 

 

 

 

 

mali ya umma.

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba  Katiba  iliyopo

iko

Katiba

mpya

ibainishe

wazi

 

 

kimya juu ya umiliki, ulinzi,

kwamba mali za asili ni mali za raia

 

 

matumizi na udhibiti wa mali

wa Tanzania tu kwa kila upande

 

51

za asili za Tanzania, zikiwepo

wa muungano na iweke utaratibu

 

madini,  mazao  ya

baharini,

madhubuti wa kulinda mali hizi

 

 

wanyama pori, misitu n.k. Hii

dhidi ya ufisadi wa ndani na nje.

 

 

imepelekea

matumizi

ya

 

 

 

 

 

 

kiholela, ubadhilifu na uporaji

 

 

 

 

 

 

wa mali hizi unaofanywa na

 

 

 

 

 

 

mafisadi wa ndani na nje na

 

 

 

 

 

 

hivyo kuendelea kusababisha

 

 

 

 

 

 

hali   ya

umasikini

kwa

 

 

 

 

 

 

Watanzania.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU YA VI: VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA WA RAIA

NA.

HOJA

 

 

 

 

MAONI

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya isiruhusu kwa hali

 

 

 

imetoa

mwanya

kwa  ardhi

yoyote kuwekwa kwa vituo vya

 

 

52

yetu kutumika kwa malengo

kigeni  vya  kijeshi  na  upelelezi

 

 

ya

ukoloni

mamboleo.

katika Jamhuri ya Muungano wa

 

 

 

Mathalan

haitoi

 

pingamizi

Tanzania.

 

 

 

 

kwa mataifa ya nje kuweka

 

 

 

 

 

vituo vya kijeshi na upelelezi

 

 

 

 

 

katika ardhi ya Tanzania.

 

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba   mpya   iendelee

kupiga

 

 

 

haidhibiti

 

 

kikamilifu

marufuku kuwepo kwa

tume na

 


17 | P a g e

 

 

uundwaji kiholela wa tume na majeshi haya yasiyo rasmi na majeshi ya ulinzi nje ya yale kuweka utaratibu thabiti wa kuziba

53               ya serikali. Mathalani tume ya mianya ya kuundwa mengine ya majeshi ya Kikatoliki katika mfano huo.

Jeshi la Ulinzi la Tanzania na kuwepo kwa Jeshi la Wokovu la Wakristo

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU YA VI: USAWA, HAKI YA KUISHI NA HAKI ZA BINADAMU

NA.

 

HOJA

 

 

 

MAONI

 

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba mpya isitishe kuitambulisha

 

 

54

inaitambulisha

 

Tanzania

Tanzania kama nchi ya kijamaa na

 

 

kama nchi ya ujamaa tofauti

Watanzania kama wajamaa. Ubaki

 

 

 

na uhalisia wa mazingira ya

mfumo  wa  siasa  ya  kujitegemea

 

 

 

kisiasa

na

kiuchumi

na

(kutokuwa

tegemezi

na

 

 

 

kiitikadi yaliyopo nchini

 

ombaomba).

 

 

 

 

Kwamba Katiba iliyopo haitoi

Katiba mpya ianishe tafsiri sahihi

 

 

55

tafsiri   yakinifu

ya

neno

ya USAWA kwa mujibu wa imani

 

 

USAWA (mfano usawa katika

za  dini  ya  mtu.  Hii  itasaidia

 

 

 

mirathi,

usawa

katika

wananchi

kutafsiri  USAWA

kwa

 

 

 

majukumu ya mwanamke na

mnasaba wa mafundisho ya imani

 

 

 

mwanamume

katika

jamii

ya dini zao.

 

 

 

 

n.k).

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba Katiba iliyopo inatoa

Katiba  mpya  iweke  mipaka  ya

 

 

56

uhuru na haki ya kuishi usio

uhuru  na  haki  ya  kuishi  yenye

 

 

na mipaka na usiotilia maani

kuzingatia uhuru na haki ya kuishi

 

 

 

uhuru  na  haki  za  wengine

ya  wengine.  Mathalani  iweke

 

 

 

kuishi.

 

 

 

 

sheria   ya   kuuawa   kwa   mtu

 

 

 

 

 

 

 

 

aliyeuwa

mwingine   au

watu

 

 

 

 

 

 

 

 

wengine kwa dhulma.

 

 


18 | P a g e

 

 

 

Kwamba

Katiba

iliyopo

Katiba isiruhusu mahusiano yoyote

 

 

haikatazi mahusiano ya jimai

ya  kimapenzi  nje  ya  ndoa  na

 

57

na  kimapenzi

nje  ya

ndoa

mahusiano ya kimapenzi ya watu

 

pamoja  na  mahusiano  ya

wa jinsia moja na ndoa ya watu wa

 

 

namna  hiyo  kwa  watu  wa

jinsia moja. Katiba ipige marufuku

 

 

jinsia  moja.  Hii  imepelekea

vitendo

au

utengenezaji

wa

 

 

kuporomoka kwa maadili na

mazingira

yanayopelekea

au

 

 

mparaganyiko

katika

 

jamii,

kurahisisha mahusiano ya namna

 

 

kuenea

kwa

watoto

wa

hiyo.

 

 

 

 

 

 

mitaani

na

maradhi

ya

 

 

 

 

 

 

 

ukimwi na maradhi mengine

 

 

 

 

 

 

 

ya zinaa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Mfumo  wa

Elimu

Katiba mpya iruhusu watu wa dini

 

58

uliopo

hauwapi

 

fursa

mbalimbali  kuwa  na  mfumo  wa

 

Waislamu

kuchunga

maadili

elimu

utakaozingatia

imani,

 

 

na  itikadi  ya  dini  yao.  Ipo

maadili, mila, itikadi na desturi za

 

 

mitaala ya elimu iliyotofauti

dini zao.

 

 

 

 

 

 

na ile ya elimu ya Mtanzania

 

 

 

 

 

 

 

ambayo

 

imeruhusiwa

 

 

 

 

 

 

 

(Cambridge,  Marekani

n.k).

 

 

 

 

 

 

 

Kwamba

Waislamu

 

wana

 

 

 

 

 

 

 

haki  ya  msingi  ya  kufuata

 

 

 

 

 

 

 

mfumo wa elimu wa Kiislamu

 

 

 

 

 

 

 

kama sehemu ya ibada katika

 

 

 

 

 

 

 

Uislamu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

43

Kwamba   Sheria   za   nchi

Katiba

mpya

impunguzie

 

 

zinampa mamlaka makubwa

madaraka

 

Mkurugenzi

wa

 

 

Mkurugenzi wa Mashitaka ya

Mashitaka  ya

Jinai.  Imlazimishe

 

 

Jinai [DPP] kiasi cha kuwa na

kupeleka

kesi

mahakamani  na

 

 

hiari

kuifikisha

 

kesi

isimpe uwezo wa kufuta kesi kwa

 

 

mahakamani  au  kutoifikisha

matakwa

yake.

Uamuzi

wa

 

 

au  hata  kuifuta  kabisa  bila

kuendelea au kufuta kesi uwe ni

 

 

idhini ya hakimu.

 

 

wa mahakama.

 

 

 

 


 

 

ANGALIZO: MAONI HAYA YAMEKUSANYWA KWA LENGO LA KUFANIKISHA MCHAKATO WA KUANDIKWA KATIBA MPYA.


HIVYO BASI MUISLAMU YEYOTE ANAWEZA KUENDELEA KUCHANGIA KWA KUZIDISHA VIPENGELE AMBAVYO VIMESAHAULIWA AU KUPUNGUZWA NA VIMEKOSEWA KWANI UKAMILIFU NI WA ALLAH [SUBHAANAHU WA TA'ALA]

 

WAKUSANYAJI NA WARATIBU WA HOJA NA MAONI

 

1.     Sheikh Salim A. Barahiyaan [LLB Shariah, LLM Shariah & Law]

 

2.     Dr. Abu-Malik Juma [PhD Economics]

 

TAKWIMU

 

IDADI YA MIKOA ZILIPOFANYIKA SEMINA SHIRIKISHI

TANZANIA BARA

17

ZANZIBAR

1

 

 

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments