Katibu wa CCM mkoa amemaliza press conference hi vi punde na kufafanua kuwa Halmashauri Kuu ya Mkoa imemaliza kikao chake hivi punde na kuamua madiwani nane wa manispaa ya Bukoba kufukuzwa katika chama na kufutwa nyadhifa zao za udiwani kutoka na mgogoro uliokuwa ukiendelea.
Majina ya madiwani hao nane waliofukuzwa ni haya yafuatayo:-
Majina ya madiwani hao nane waliofukuzwa ni haya yafuatayo:-
BukobaWadau blog)
------------
Taarifa iliyotolewa na Katibu wa CCM Mkoa wa Kagera Avelin Mushi, imesema kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na chama kujali maslahi ya wananchi tofauti ya watu binafsi.
Mushi amesema kuwa kufukuzwa kwa madiwani hao ni kutokana na mgogoro ulidumu kwa muda mrefu juu ya Mbunge na Meya ambapo Rais Kikwete akiwa ziarani Kagera alitoa agizo la wanachama hao kutoendelea na mgogoro huo lakini maagizo hayo yalipuuzwa.
Pia, amesema kuwa vikao vya chama vimekuwa vikiendelea kwa kufuata kanuni na taratibu kwa kuwaonya juu ya kuhujumu serikali ya CCM kwa kushirikiana na madiwani kambi ya upinzani kutotekeleza maendeleo ya wananchi lakini wahusika wote wamekuwa wakikahidi maagizo ya kuitwa kwenye vikao. (CCM Chama blog)
Matias Byabato, Chanel TEN, Bukoba --- (------------
Taarifa iliyotolewa na Katibu wa CCM Mkoa wa Kagera Avelin Mushi, imesema kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na chama kujali maslahi ya wananchi tofauti ya watu binafsi.
Mushi amesema kuwa kufukuzwa kwa madiwani hao ni kutokana na mgogoro ulidumu kwa muda mrefu juu ya Mbunge na Meya ambapo Rais Kikwete akiwa ziarani Kagera alitoa agizo la wanachama hao kutoendelea na mgogoro huo lakini maagizo hayo yalipuuzwa.
Pia, amesema kuwa vikao vya chama vimekuwa vikiendelea kwa kufuata kanuni na taratibu kwa kuwaonya juu ya kuhujumu serikali ya CCM kwa kushirikiana na madiwani kambi ya upinzani kutotekeleza maendeleo ya wananchi lakini wahusika wote wamekuwa wakikahidi maagizo ya kuitwa kwenye vikao. (CCM Chama blog)
Source: http://www.wavuti.com/4/post/2013/08/ccm-kagera-yawafukuza-madiwani-8-wa-manispaa-ya-mji-wa-bukoba.html#ixzz2bvok7b86
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments