Angalieni balaa hili:
Div I = 1,641
Div II = 6,453
Div III = 15,426
Div IV = 103,327
Div 0 = 240,903
Si kweli kwamba kupata Div IV ni kufaulu; ni upumbavu tu kusema kwamba mtoto amefaulu kwa Div IV kwa sababu hana pa kwenda labda ualimu wa shule ya msingi kama bado wanawachukua. Kimsingi waliofeli ni Div IV na Div 0 ambao ni jumla ya 344,230 kati ya 367,750, yaani asilimia 93.6 wamekwama.
Div ni 0.45% ya wanafunzi wote. Hawa ndiyo watoto waliofanya vema kama tunataka kuwa wakweli.
Maskini Tanzania yetu; tutajenga taifa gani na vilaza hawa mamia ya maelfu???
Matinyi.
Div I = 1,641
Div II = 6,453
Div III = 15,426
Div IV = 103,327
Div 0 = 240,903
Si kweli kwamba kupata Div IV ni kufaulu; ni upumbavu tu kusema kwamba mtoto amefaulu kwa Div IV kwa sababu hana pa kwenda labda ualimu wa shule ya msingi kama bado wanawachukua. Kimsingi waliofeli ni Div IV na Div 0 ambao ni jumla ya 344,230 kati ya 367,750, yaani asilimia 93.6 wamekwama.
Div ni 0.45% ya wanafunzi wote. Hawa ndiyo watoto waliofanya vema kama tunataka kuwa wakweli.
Maskini Tanzania yetu; tutajenga taifa gani na vilaza hawa mamia ya maelfu???
Matinyi.
0 Comments