[wanabidii] “Eti” UVCCM Imegeuka “Klabu” Ya Watoto Wa Vigogo? - Mwanzo

Friday, October 19, 2012
Ni nani asiyejua kwamba ndani ya kipindi cha miaka saba tu ya urais wa Kikwete, mkewe Salma na mwanaye Ridhiwan ambao hawakuwa lolote ndani ya medani za uongozi wa kisiasa nchini, sasa tayari ni wajumbe wa NEC na Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM? Mtoto mwingine wa Rais Kikwete, Halfan Kikwete (11) naye ni kiongozi wa kitaifa wa chipukizi wa CCM, tena naambiwa wakati alipochaguliwa Desemba 29, 2009, mjini Morogoro, mwenyewe hakuwepo hata ukumbini!
http://wotepamoja.com/archives/9202#.UID-uqDVMeg.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments