Ndugu zangu,
Nikiwa kama mmiliki na mhariri wa mtandao wa mjengwablog.com, Jumamosi ya Januari 31, nilipambana hadi mita 100 za Mwisho kwenye Uwanja wa Jamhuri ili
kukamilisha kilomita 21.1. Milima ya kwetu Iringa iliniweka kwenye form nzuri kuikabili tambarare ya Dodoma.
Pichani nikimalizia mita 100 za mwisho.
Najipanga sasa kuukabili Mlima Kilimanjaro mwezi Juni mwaka huu. Nataka kuhamasisha Watanzania wa Nyumbani Na Diaspora kuutangaza mlima huu mrefu kuliko yote Afrika sambamba na kuutetea theluji yake isije ikayeyuka kutokana na Mabadiliko ya Tabia Nchi ikiwamo uharibifu wa mazingira yanayouzunguka mlima huo.
Kuwepo na matumaini ya uhai wa Kilimanjaro. Soma makala yangu iliyochapwa kwenye # Africablogging kuhusu Kilimanjaro...http://www.africablogging.org/tanzania-there-is-still-hope-for-kilimanjaro/
Maggid
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at https://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye7rTQJi0RN2d7_tAw%3DwtZv%2Br%2B%2ByP%2BjztroRjpbC3najrQ%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments