Ndugu zangu,
Nimesoma leo, kuwa CUF wanasema hawaturudi tena kwenye uchaguzi mwingine. Lakini, kwa tunaofuatilia siasa za Zanzibar, si majibu ya ajabu.
CUF wamekasirishwa, na CCM nao wameonyesha au wataonyesha kukasirishwa na hali hii ya sasa ya ' Political impasse'.
Hakuna namna nyingine ya kufanya bali pande husika kukaa kwa hiyari au kushawishiwa/kulazimishwa kukaa kwenye meza ya mazungumzo kutafuta namna ya kusonga mbele.
Katika hali hizo, huwa kuna hitaji la kuona kichwa au vichwa vikibiringishwa kwenye vumbi. Kulazimishwa kuachia ngazi. Nakiona kichwa cha Jecha Salim Jecha kikiwa kwenye hatihati ya kuingia kwenye hatma hiyo.
Na tusubiri kuona...
Maggid.
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye4P6S9mDBak1%3DfGr%3DSvi-TpAGvq4-QFPPy2TETM4-QoGw%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments