[wanabidii] Gwajima ana shida gani?

Wednesday, September 09, 2015
Sikupata nafasi ya kumsililiza 'Askofu' Gwajima akijibu tuhuma zilizotolewa na Dr. Slaa. Badala yake nimesikia na kusoma kwenye vyombo mbalimbali kuhusu alichosema.
Dr Slaa alisema mambo makubwa mawili kuhusu Gwajma:
1) Kuwa ndiye alikuwa mshenga wa Lowasa kuichumbia CHADEMA. Wote tulikuwa tumeaminishwa na Mwewenyekiti wa CHADEMA kuwa UKAWA ndio walimfuata Lowasa kumuomba agombee urais kupitia CHADEMA. Baada ya Slaa kusema Gwajima alikuwa kuwadi wa kuiomba CHADEMA imruhusu Lowasa apitie huko kugombea urais watu wulihitaji ufafanuzi na kutaka kujua Gwajima kama kiongozi wa dini anabakije salama akishiriki siasa kwa undani huo

2) La pili tulilotarajia Gwajima ajibu ni kama kweli alimwambia Slaa kuwa makanisa yanamuunga Mkono Lowasa-Walutheri kwa kuwa yeye ni mLuteri na Wakatoliki kwa kuwaonga maaskofu 30 kati ya 34.

Majibu ya Gwajima tena baada ya kuwasubirisha watanzania yameishia kueleza kuwa Slaa hakuacha siasa kwa sababu ya Lowasa bali kalazimishwa na mkewe.
Kusingekuwa na agenda ya uchaguzi; Gwajima akasema haya, hii ingekuwa habari ya maana. Sasa watanzania tunahangaika kushawishiana namna ya kumpata rais bora. Mgombea mmoja ana historia ya kashfa za kupenda mali toka enzi za mwalimu Nyerere. Slaa amekuja na 'kuchafua hali ya hewa' kwa kuwaeleza watanzania ukweli wa mgombea huyu. Gwajima akatarajiwa kusema lolote la maana. Anaishia kueleza habari za raia wa kawaida (Slaa) kuwa alizuiwa na mkewe kuendelea na Siasa. Hii inamsaidiaje mtu anayetaka kuamua kati ya Magufuli na lowasa?

Mimi ninafikiri gwajima ana matatizo. Tena yameshika kichwani. Jumla ya mwenendo wa Gwajima unaashiria hayo. Josephina kumzuia Slaa kuendelea na siasa haimaanishi kuwa Gwajima hakumwambia Slaa kuwa maaskofu walihongwa. Kwa kutosemea hilo anaendelea kuwaweka pagumu viongozi hawa. Nimesikia maelezo ya mmoja wao kuwa kanisa linadumu kuchangisha. Mimi sijui sana lakini kama kanisa linadumu kuchangisha ni lazima lijielekeze kuchangisha watu waadilifu vinginevyo litapoteza maana halisi ya kanisa. Wako maskini wengi waadilifu wanatosha kuyachangia makanisa. Haiwezekani maaskofu 30 kumchangisha mtu mmoja wote bila kujua na bila kujua kuwA SI MUADILIFU.



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments