[wanabidii] Mbowe ulikosea sana kwa kudhani Sharif Hamad ndio kila kitu, Bila Liipumba Tanzania bara hamna Cuf

Thursday, August 06, 2015

Mbowe ulikosea sana kwa kudhani Sharif Hamad ndio kila kitu, Bila Liipumba Tanzania bara hamna Cuf

ukizungumzia Cuf Tanzania bara huwezi kuacha kumtaja prof. Lipumba, bila Lipumba hakuna Cuf Tanzania bara, mipaka ya Sharif Hamad ni kule kule kisiwani na sio huku Tanzania Bara.

Chadema na Mbowe mlikose sana kumrubuni Sharif Hamad kwa kuona Lipumba si chochote si lolote, tamaa yenu, na uzandiki leo mmeisambaratisha Ukawa.

Namuonea huruma Lowasa bora angetuli ccm lakini amekwenda kuusambaratisha upinzani uliokuwa imara na wenye nguvu, Lowasa huoni aibu unakaribishwa ndani ya nyumba halafu wenye nyumba wanagombana uliona wapi mpangaji akawa na nguvu kuliko mwenye nyumba.

Nampongeza Lipumba kwa uamuzi mgumu wa kukataa kubakwa kwa demokrasia Nchini Kwetu

Lowasa umekosea sana na utajuta maishani mwako watanzania hatutakusamehe kwa kuua upinzani na Ukawa yetu, nakuhakikishia october si mbali utajua na kujua kuwa pesa si kila kitu na Dunia hadaa na ulimwengu Shujaa

tukutane october

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments