Kumbukumbu: Kauli walizowahi kutoa Viongozi wa UKAWA kuhusu Lowassa
Atakayemuunga mkono Lowasa apimwe akili - Msigwa
CCM wamempa fomu kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jela, wametudharau watanzania - Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani - Mbowe
NI heshima KWA Mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa - G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) - Slaa
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
HAO NDIYO VIONGOZI WETU!
0 Comments