[wanabidii] Taasisi ya Kiislamu yatoa Tamko

Friday, July 03, 2015
Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary, imetoa Tamko maalum kulaani kitendo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar ES Salaam,Ramadhani Madabida, Kumfananisha Mtume Muhammad (S.A.W) na Ndugu Edward Lowassa.
-Aliyasema hayo wakati Edward Lowassa alipokuwa kwenye viwanja vya CCM, Mkoani Dar kutafuta wadhamini.
Zaidi, Soma => http://goo.gl/Y5Xh0s
 

Share this :

Related Posts

0 Comments