[wanabidii] Makonda alikutuma kachelewa

Friday, July 03, 2015
Mimi namshangaa huyu bw mkubwa dc wa kinondoni anavyopayuka payuka ovyo dhidi ya kaka yake au tuseme baba yake bila hata kabusara,kwanza anaaibisha kundi la vijana kumshambulia mwanachama mwenzako hadharani as if ni wa kambi nyingine ni kosa na kwa kweli ccm kama inataka ishinde bila doa mijamaa kama haya yafungwe midomo ikae mbali na chama kwani wanakimoa chama kwa kutumwa na kwa ss si muda sahihi na mahali anapolizungumzia suala lake si sahihi
Unaporusha tuhuma bila any evidence ni ukosefu wa busara na najua watanzania wanamjua vzr huyu bw,tokea ars na baadae akaja dar kumshambulia mzee wetu anaeheshimiwa na nchi jaji warioba sinde badala yake akazawafiwa ud ambao naona hajaridhika nao ndio maana anabwatahivi jamaaa.
Unavyomtuhumu mtu toa evidence na kuna channels za kufuata ikiwa unazo data lakini jamaa nadhani hana training ya uongozi, leadership ethics ndio maana hata pa kupeleka complain zake hajui,namshangaa sana na namshangaa kwakua ana nafasi mbele lakini naona anajiharibia.....,mwanamke mpumbavu huharibu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe......quote ya bible
Huyu yeye hana nidham ktk chama kiukweli angetakiwa aondolwe uanachama kabisa ,bora nape kwakua kaz na nafasi yake inamtaka aongee japo si kutuhumu mtu,sasa makonda yeye anafikia pahala eti anamtaja lowasa kabisa,eti ni fisadi na kua kama ccm itampitisha atawashawishi vijana kuandamana kumpinga......majibu wanaompigia ni vijana regardless ya chama na wengi ni wa ccm sasa sjui vijana gani atawaongoza ktk maandamano yake,labda ambao hawana akili timamu na wasio jua mazuri lowasa alioitendea nchi hii akiwepo dc m
Ayukaji makonda,hajatenda haki kabisa kupayuka huyu bw, na tena katumia ruzuka ya serikali kjitisha press kuwaaambia huo upujzi wake.....
Watanzania msipoteze muda kuwasikiliza watu hawa wanaotumwa kujiondoa ufaham na kuwatukana watu walioisaidia nchi na bado kumbukumbuzao zipo na tunate bea mbele tukijidaie,yeye anawadhalilisha na watu tunakaa kimya,who is he,ud hata mtu yeyote anapewa lakini kuchaguliwa ni hadi watu wakutake akupime na wakupe...lowasa ni mbunge na usitukane kiongozi wetu na kumpa vikashfa visivyo na masjphiko.....
Naomba kuwasilisha
Mollel
Team lowasa
Lesian

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments