Habari za jumapili ndugu zangu! Naomba elimu kwa wenye kujua swala hili! Hizi pampu za kuuzia mafuta katika "petrol stations" ni nani hasa mdhibiti wa vipimo hivi vya mafuta? Maana kila nikipita katika hivi vituo sioni kama kweli pampu hizo zinakaguliwa ipasavyo. Nchi za jirani utaikuta pampu imebandikwa karatasi inaonyesha lini imekaguliwa na pia kupangia tarehe nyingine ya ukaguzi unao fuata. Hapa kulikoni?
Related Posts
- [Mabadiliko] Suala Si Tu Viongozi Kupenda Safari Za Nje, Bali Wanasafiri Vipi..?
- [wanabidii] 24 things you didn't know iPhones could do
- [wanabidii] Press Releases: November 14 - Saturday
- [wanabidii] DK.TULIA ACKSON HUFAI KUENDELEA KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
- [wanabidii] Top Headlines: Paris terror attacks to dominate agenda at G20 Summit in Turkey
- [wanabidii] Press Releases: Statement of the International Syria Support Group
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments