Habari za jumapili ndugu zangu! Naomba elimu kwa wenye kujua swala hili! Hizi pampu za kuuzia mafuta katika "petrol stations" ni nani hasa mdhibiti wa vipimo hivi vya mafuta? Maana kila nikipita katika hivi vituo sioni kama kweli pampu hizo zinakaguliwa ipasavyo. Nchi za jirani utaikuta pampu imebandikwa karatasi inaonyesha lini imekaguliwa na pia kupangia tarehe nyingine ya ukaguzi unao fuata. Hapa kulikoni?
Related Posts
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] Press Releases: Department of State Announces 2015 Fishackathon Winners
- [wanabidii] ONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) KWA MWAKA 2015 KUFANYIKA TAREHE 05 MPAKA 07 MWEZI WA NANE KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
- [wanabidii] Press Releases: On the Occasion of Montenegro's Statehood Day
- [wanabidii] New content updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments