Hivi kweli ni sahihi shule ya awali kulipia ada ya Tshs.1,200,000/= na zaidi kwa mwaka? Kweli hii hali ya kupandisha watoto wadogo kwenda kusomea shule za mbali itaisha? Kama shule ya karibu ada hiyo hiyo. Hivi hizi shule binafsi nani anadhibiti ada ada zake? Kila shule na ada yake kweli tutafikia BRN? Ni wakati umefika sasa pawepo na chombo cha kupanga ada za shule za binafsi kulingana na huduma inayotolewa. Hebu wanaohusika walivalie njuga swala hili! Au hili nalo linasubiri Rais Ajaye? Aaah hebu wanaohusika wawajibike!
Related Posts
- [wanabidii] 66 including Exposed: Masked Soldiers in Osun are Niger-Delta Killer Squad
- [wanabidii] Malawi rules out war with Tanzania over lake dispute
- [Mabadiliko] HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KWANZAJAMII RADIO LEO ASUBUHI...
- [wanabidii] Je uko salama, dhidi ya kansa unapotumia dawa ya meno yenye kiambata hiki?
- [Mabadiliko] MAGAZETI YA LEO JUMATANO...
- [wanabidii] Malawi, Tanzania Move Towards One Stop Border Post
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments