Hivi kweli ni sahihi shule ya awali kulipia ada ya Tshs.1,200,000/= na zaidi kwa mwaka? Kweli hii hali ya kupandisha watoto wadogo kwenda kusomea shule za mbali itaisha? Kama shule ya karibu ada hiyo hiyo. Hivi hizi shule binafsi nani anadhibiti ada ada zake? Kila shule na ada yake kweli tutafikia BRN? Ni wakati umefika sasa pawepo na chombo cha kupanga ada za shule za binafsi kulingana na huduma inayotolewa. Hebu wanaohusika walivalie njuga swala hili! Au hili nalo linasubiri Rais Ajaye? Aaah hebu wanaohusika wawajibike!
Related Posts
- [wanabidii] CHADEMA INAWABAGUA WATANZANIA
- [wanabidii] Press Releases: Additional Sanctions Imposed by the Department of State Targeting Iranian Proliferators
- [wanabidii] MATESO, UKATILI NA UNYAMA KWA WAISLAMU WANAOTUHUMIWA KWA KESI YA 'UGAIDI'
- [wanabidii] Press Releases: Uzbekistan Independence Day
- [wanabidii] supermaket ipo sokoni
- [wanabidii] Press Releases: U.S. Citizens Detained or Missing in Iran
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments