[Mabadiliko] Tetesi: Wilfred Lwakatare kafutiwa kesi ya ugaidi. Saturday, December 06, 2014 Jana nilisoma kwenye mitandao ya kijamii kwamba Lwakatare amefutiwa kesi ya ugaidi ilokuwa inamkabili.Nimetumbua macho kwenye Luninga jana lakini sikuona hiyo news.Ukweli ukoje?Sent from Samsung tablet Share this : Digg Linkedin Stumbleupon Delicious Tumblr BufferApp Pocket Evernote
0 Comments