Ninavyoona mimi Katiba hii ni ya watu wachache sana lakini hasa ya Sitta, Wassira na Lukuvi. Watu milioni 50 tunatengenezewa katiba na watu 3 tu? Kweli Tanzania kuna tatizo kubwa sana, si bure!!! Iweje watu watatu ndio wana influence mchakato wote wa katiba?? there something wrong somewhere!!
Related Posts
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] 13 MALAWIANS DIE IN BUS ACCUDENT IN MOZAMBIQUE
- [wanabidii] Bulletin PCQVP disponible en Français/One-off email about PWYP newsletter languages
- [wanabidii] OPPORTUNITIES IN BOTSWANA
- [wanabidii] "TUNALAANI UKATILI MAOVU WANAYOFANYIWA WAANDISHI WA HABARI." - TIBANYENDERA (MISA-TAN)
- [wanabidii] New content updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments