Ninavyoona mimi Katiba hii ni ya watu wachache sana lakini hasa ya Sitta, Wassira na Lukuvi. Watu milioni 50 tunatengenezewa katiba na watu 3 tu? Kweli Tanzania kuna tatizo kubwa sana, si bure!!! Iweje watu watatu ndio wana influence mchakato wote wa katiba?? there something wrong somewhere!!
Related Posts
- [wanabidii] Usiku wa Mwanamke wa Kiafrika Ndani ya Tamasha la Jinsia
- [wanabidii] UNANSWERED QUESTION ON IDPS
- [wanabidii] Drug smugglers set afire Tanzanian-registered ship with $78m of cannabis
- [wanabidii] Taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kuhusu Kongamano la Ukanda wa Ziwa Tanganyika
- [wanabidii] Ushauri wa Mwalimu Mndeme kwa Wabunge kuhusu mjadala wa Katiba
- [wanabidii] UNANSWERED QUESTION ON IDPS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments