[Mabadiliko] Katiba hii ya Sitta? Wassira? Lukuvi? au ya Wananchi?

Tuesday, August 26, 2014
Ninavyoona mimi Katiba hii ni ya watu wachache sana lakini hasa ya Sitta, Wassira na Lukuvi. Watu milioni 50 tunatengenezewa katiba na watu 3 tu? Kweli Tanzania kuna tatizo kubwa sana, si bure!!! Iweje watu watatu ndio wana influence mchakato wote wa katiba?? there something wrong somewhere!!

Share this :

Related Posts

0 Comments