Ninavyoona mimi Katiba hii ni ya watu wachache sana lakini hasa ya Sitta, Wassira na Lukuvi. Watu milioni 50 tunatengenezewa katiba na watu 3 tu? Kweli Tanzania kuna tatizo kubwa sana, si bure!!! Iweje watu watatu ndio wana influence mchakato wote wa katiba?? there something wrong somewhere!!
Related Posts
- [wanabidii] Youth Entrepreneurship Intervension/study: Info Request
- [wanabidii] EX NFIU DIRECTOR LOSES FATHER
- [wanabidii] New content updates
- [Mabadiliko] Kinachotarajiwa Kutoka Kwa JK Jioni Ya Leo...
- [wanabidii] EX NFIU DIRECTOR LOSES FATHER
- [wanabidii] Philips to establish Research & Innovation Hub in Africa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments