BAADA YA MAOMBELEZO YA KIFO CHA SWAHIBA WAO IRAKI HUDU(RIP)
FFU wa NGOMA AFRICA BAND WAPANDA TENA JUKWAANI UGHAIBUNI !
Frankfurt,Ujerumani.
Bendi ya Muziki wa dansi Ngoma Africa band alimaarufu " FFU-Ughaibuni" walipanda tena jukwaani jumamosi ya 21 Juni 2014 katika Ditzenbach Festival,nje kidogo ya mji wa Frankfurt,kule Ujerumani.
Bendi hiyo maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya yenye makao yake nchini Ujerumani ilikuwa katika maombolezo ya siku saba kutokana na kifo cha layekuwa Swahiba wao wa karibu bondia mkongwe hayati IRAKI HUDU aka Kimbunga(RIP) ambaye alifariki 13.juni 2014 mjini Dar-es-salaam. Baada ya maombolezo hayo bendi hiyo sasa inaendelea na taratibu zake za maonyesho huko ughaibuni.
wasikilize ffu-ughaibuni at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments