CODE;-
[caption id="attachment_45453" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45453" alt="Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0106.jpg" width="640" height="427" /> Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao.[/caption]
[caption id="attachment_45452" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45452" alt="Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kushoto) akikaimu uenyekiti wa moja ya vikao vya Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0108.jpg" width="640" height="346" /> Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kushoto) akikaimu uenyekiti wa moja ya vikao vya Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii. Kulia ni Katibu wake.[/caption]
[caption id="attachment_45449" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45449" alt="Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau (kushoto) akizungumza na mmoja wa wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0167.jpg" width="640" height="454" /> Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau (kushoto) akizungumza na mmoja wa wajumbe wa<br />Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano<br />wao.[/caption]
[caption id="attachment_45446" align="aligncenter" width="552"]<img class="size-full wp-image-45446" alt="Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF baada ya kumalizika kwa kikao cha baraza hilo." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0240.jpg" width="552" height="480" /> Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau (wa kwanza kushoto) akizungumza na baadhi ya viongozi waandamizi wa shirika hilo, ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF baada ya kumalizika kwa kikao cha baraza hilo.[/caption]
<img class="size-full wp-image-45450" alt="Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakibadilishana mawazo kwenye mapumziko kabla ya kuendelea na majadiliano. " src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0140.jpg" width="625" height="480" />
[caption id="attachment_45456" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45456" alt="Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (katikati) akibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi waandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_00581.jpg" width="640" height="377" /> Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (katikati) akibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi waandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo.[/caption]
[caption id="attachment_45454" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45454" alt="Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakibadilishana mawazo kwenye mapumziko kabla ya kuendelea na majadiliano. " src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0086.jpg" width="640" height="420" /> Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakibadilishana mawazo kwenye mapumziko kabla ya kuendelea na majadiliano.[/caption]
[caption id="attachment_45455" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45455" alt="Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mkutano wa baraza uliofanyika juzi na jana jijini Dar es Salaam." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_00771.jpg" width="640" height="382" /> Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mkutano wa baraza uliofanyika juzi na jana jijini Dar es Salaam.[/caption]
<img class="aligncenter size-full wp-image-45448" alt="" src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0179.jpg" width="640" height="442" />
[caption id="attachment_45451" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45451" alt="Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakibadilishana mawazo kwenye mapumziko kabla ya kuendelea na majadiliano. " src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0143.jpg" width="640" height="450" /> Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakibadilishana mawazo kwenye mapumziko<br />kabla ya kuendelea na majadiliano.[/caption]
[caption id="attachment_45447" align="aligncenter" width="640"]<img class="size-full wp-image-45447" alt="Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mkutano wao wa siku mbili uliofanyika jijini Dar es Salaam." src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0211.jpg" width="640" height="348" /> Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii wakiwa katika<br />picha ya pamoja baada ya mkutano wao wa siku mbili uliofanyika jijini Dar es Salaam.[/caption]
<strong>BARAZA</strong> Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii limekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam tangu juzi kufanya vikao vyake vya kazi ikiwa ni pamoja na kuangalia utendaji kazi, kupitia mikakati na malengo mbalimbali iliyojiwekea.
Mkutano huo ambao pia umejadili na kupitisha bajeti ya shirika kwa mwaka 2014/15 umeongozwa na Mwenyekiti wa Baraza hilo, ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani K. Dau na kufanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa NSSF uliopo Katika Jengo la shirika hilo 'WeterFront House' la jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo umejumuisha Watendaji Wakuu toka Makao Makuu, Mameneja wa Mikoa, Watendaji wa kuu wa mikoa na wajumbe wengine wanaounda baraza la wafanyakazi la NSSF. Jumla ya wajumbe 142 wameshiriki katika mkutano huo uliofanyika kwa siku mbili. Shirika la NSSF ni miongoni mwa mwashirika makubwa ya hifadhi ya jamii nchini yenye vitega uchumi lukuki na vya thamani kubwa vinaochangia kukua kwa uchumi wa taifa.
<strong>*Imeandaliwa na www.thehabari.com</strong>
Joachim Mushi, Mhariri Mkuu wa gazeti tando la Thehabari.com
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066/ 0786 030066/ 0756 469470
Web:- www.thehabari.com
http://joemushi.blogspot.com
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments