[wanabidii] bagamoyo items

Thursday, September 05, 2013
hi wakuu, nawapa vitu adimu tena jamani,hizi fursa zipo na kama mtu yupo serious zitamtoa lakini kwa wale wanaopenda kila jambo ni siasa watabakia hivyo hivyo.
bidhaa hz hapa:
kuna hekata 46 km 5 hv toka new bagamoyo port zinauzwa m 700 tu.
hekat 10 tena kmn 4 toka bandar mpya nayo bei ni m  150 na zina hati miliki na atakayehiaji atuone.

b. nyumba za kuuuza.
ghorofa  lipo kimara stop ova ni jipya zuri la kisas                                         bei m 230 tu bei ya kutuwa, jingine lipo sala sala nalo bei ni m 250.
nyumba za kwaida na za kisasa pia zipo bei kuanzia m 50 hadi 200...tunalo pia ghorofa kali sana maeneo ya oysterbay mbuyuni bei usd laki 4 sawa na m 600 hv.

C Dhahabu
tunazo hahabu toka kilosa, kilindi na muheza za kuuza na mwenye mteja au anaehitaji anione au anitext/call gram inaanzia  tsh laki moja tu....madini mengine ya kawaida pia yanapatikana ukihitaji ie green tormarine et.

d: bar za kupanisha/godown na yard piazinapatikana maeneo mbali mbali ya hapa jijini na ars kwa anaehitaji do not hesitate sir.

Share this :

Related Posts

0 Comments