[Mabadiliko] Simulizi Za Mzee Madiba; Siku Mandela Alipojenga Hoja Mbele Ya ' Simba Wa Yudah..'

Saturday, July 20, 2013

Na Maggid Mjengwa,

Ndugu zangu,

Tumeaona Mandela akikutana kwa mara ya kwanza na Mfalme Haile Selassie pale Addis Ababa, Ethiopia.

Na ikafika siku ya mtihani mgumu kwa Mandela. Mtihani wa kuisafisha ANC iliyochafuliwa na PAC. Maombi ya ANC kutaka kutambuliwa rasmi kama Chama Cha Ukombozi yaligonga mwamba pale mjumbe kutoka Uganda alipokuja na madai, kuwa ANC ni chama cha kikabila. Kwamba ANC inaundwa na watu wa kabila la Waxhosa.

Na waandaaji wa mkutano ule wa PAFMECSA walifanya makusudi kumfanya Mandela awe mzungumzaji wa pili baada ya Mfalme Haile Selassie. Walitaka kupata....Soma zaidi...http://mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/4061-simulizi-za-mzee-madiba-siku-mandela-alipojenga-hoja-mbele-ya-simba-wa-yudah.html#.UepCAW2CDTo

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments