[Mabadiliko] KUZIMA SIMU

Monday, July 29, 2013
Wandugu,
Kama mmesahau huu ni muda wa kuzima simu na kuchomoa laini kabisa kwa mujibu wa maombi ya kushinikiza kufutwa kodi ya laini za simu.
Nakumbusha wadau,
Marc6

Share this :

Related Posts

0 Comments