[wanabidii] Press Release : Vituo zaidi ya 900 vya Afya nchini Vyakabiliwa na Uhaba wa dawa Mseto (ALU)

Thursday, June 20, 2013

Ndugu Mwanahabari!

 

Kwanza nitangulize shukrani kwa ushirikiano ambao tumekuwa nao katika kuuhabarisha umma kuhusiana na masuala mbalimbali ya huduma za afya nchini.

 

Nakuomba upokee taarifa kuhusiana na tatizo sugu la uhaba wa dawa mseto (Alu) katika vituo zaidi ya 900 vya kutolea huduma za afya vya umma nchini ili uweze kuitumia kwenye chombo chako cha habari kwa ajili ya kuuhabarisha umma.

 

NB: Taarifa hizo zipo katika lugha za Kiswahili na kiingereza.

 

Ahsante sana

 

Mcharo Mrutu

Program Officer

Media and Communication Department

Sikika

P. O. Box 12183,
Dar es Salaam.
Tel +255 222 666355/57

Fax +255 222 668015

Mobile +255 715 232712
Email: mcharo
@sikika.or.tz

Quality health services for all Tanzanians

 

 

Share this :

Related Posts

0 Comments