[Mabadiliko] Msimamo Mkali Wa Vijana Wa Mlimani ( VI)- Nyerere Aliwaita Wajerumani ' Wamasai Wa Ulaya'!

Sunday, June 30, 2013


Na Born Again Pagan

Mwalimu alikipenda Chuo Kikuu (Mlimani)! Alipendelea kuwaleta wageni wa taifa hapo Mlimani kukutana na jamii ya Chuo Kikuu na kubadilishana mawazo, kwa mfano. Rais Josip Tito wa Yugoslavia na Indira Gandhi wa India.

Mwalimu Nyerere alivutwa na wanafunzi wa Mlimani, hususan, wana-TYL. Wakati alipopata nafasi, hakusita kuwakaribisha wana-TYL nyumbani kwake Msasani. Nakumbuka siku moja alokoshwa sana na baadhi ya michango kutoka kwa kundi lilikwena kumtembelea alasiri moja ya Jumapili.

Akiwa amejawa na furaha, Mwalimu Nyerere alitamka...nasikia kuwa wakati mwingine mnaacha raha za wikiendi na kumalizia, pengine, "homework" zenu alasiri za Jumatano zisizo na madarasa kusaidia....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/siasa/item/3606-msimamo-mkali-wa-vijana-wa-mlimani-vi-nyerere-aliwaita-wajerumani-wamasai-wa-ulaya.html#.Uc_VgpyNCAg

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments