[wanabidii] Mwanafunzi Musoma Auawa ,Abakwa na Kunyongwa Kwa Gauni Lake - Mwanzo

Friday, November 02, 2012
Binti mmoja  mwenye umri wa miaka 12 amefanyiwa kitendo cha kinyama kwa  kubakwa na kisha kunyongwa kwa gauni alilokuwa amevaa na kutupwa katika pagala la nyumba na mwili wake kuokotwa akiwa  amefariki dunia ,maeneo ya makoko darajani  manispaa ya musoma .
http://wotepamoja.com/archives/9969#.UJP48hMoR4A.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments