[wanabidii] MAGUFULI HAKUKOSEA: ZIARA YA JK OMAN SASA IMELIPA!!!

Tuesday, November 06, 2012
 "Wapo wanaosema wewe Rais unatembea sana nje ya nchi, lakini bila kutembea kwako 
tusingepata maendeleo tunayopata, hivyo tunakuomba uendelee kutembea ili tuendelee 
kupata maendeleo zaidi," alisema Dk Magufuli.  
Ikiwa matokeo ni kama haya hapa chini basi na sisi wa Zanzibar Ni Kwetu tunamuunga mkono 
Dr Magufuli na kwa pamoja tunatamka: 

JK Zidisha Safari Za Nje Baba!


Share this :

Related Posts

0 Comments