Nimesikia wananchi wanaodaiwa ni waumini wa dini ya kiislamu
wamevamia kituo cha polisi maeneo ya Mbagala kutaka kumtoa mtuhumiwa
aliyekuwa ameshikiliwa mahali hapo baada ya kukojolea kitabu cha
dini .
Mpaka sasa askari wanapambana na wavamizi hao kwa kuwatawanya .
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments