Taarifa za ndani zinaeleza kuwa ripoti hiyo inadaiwa kuwakaanga viongozi hao, huku ikiwasafisha wabunge waliokuwa wakituhumiwa kwa rushwa.
Chanzo chetu cha habari kimeweka wazi kuwa umeibuka mvutano baina ya Serikali, ofisi ya Bunge na Kamati ya Nishati na Madini kuhusiana na ripoti hiyo.
Kamati hiyo iliyokuwa chini ya Mbunge wa Mlalo, Brigedia Jenerali Hassan Ngwilizi (CCM), imekamilisha kazi yake ya uchunguzi na tayari ripoti hiyo imekabidhiwa kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda.
http://wotepamoja.com/archives/8878#.UH0FClEdz7A.gmail --
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments